Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji wa IS wauteka mji nchini Iraq

Marekani imethibitisha kuwa wanamgambo wa Islamic State wameuteka mji wa Ali Baghdadi ulio mashariki mwa Iraq

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Iraq wauteka mji wa Tiqrit

Serikali ya Iraq inasema kuwa vikosi vyake vimeuteka mji wa kazkazini wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji wa ISIS.

 

10 years ago

Vijimambo

KUNDI LA DOLA YA KIISLAM LAUTWAA MJI WA RAMADI NCHINI IRAQ


Mji wa Ramadi nchini Irak umetwaliwa na wapiganaji wa kundi la Dola ya Kiislam baada ya vikosi vya jeshi la nchi hiyo kuzidiwa nguvu na kuondoka.

Vikosi vya askari polisi na jeshi la Irak vimelazimika kurudi nyuma baada ya siku kadhaa za mapigano makali.
Hata hivyo Marekani, imekanusha kutwaliwa kwa mji huo na kusema kuwa hali ni tete na kuongeza kuwa bado ni mapema mno kutoa taarifa ya uhakika.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS wauteka mji wa Ramadi

Baada ya mapigano makali kwa siku kadhaa katika mji wa Ramadi nchini Iraq,hatimaye yamesababisha kushikiliwa kwa mji huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wauteka tena mji wa Bentiu

Wapiganaji S.Kusini wanasema wameudhibiti upya mji wa Bentiu, na wametoa makataa kwa makampuni kusitisha uchimbaji wa mafuta.

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi wauteka Mji wa Geita, waua

Majambazi wawili jana walizua taharuki katika Mji wa Geita baada ya kuvamia na kupora fedha katika maeneo mawili tofauti kisha kumuua mtoa huduma za fedha kupitia mitandao ya simu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wauteka mji mwingine

Kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria Boko Haram, wameuteka mji mwingine Kaskazini Mashariki ya nchi hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini:Waasi wauteka mji wa Nasir

Waasi nchini Sudan Kusini wanasema kuwa wameuteka mji muhimu wa Nasir katika jimbo la upper Nile.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa IS wazungukwa Iraq

Wanajeshi wa Iraq pamoja na wanamgambo wa Ki-Shia wanaendelea kuwazingira wapiganaji wa Islamic State,huko Tikrit

 

9 years ago

Vijimambo

JK NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI WAUTEKA MJI WA MOROGORO KWA MKUTANO WA KIHISTORIA WA KAMPENI

 Rais Kikwete akimnadi mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli  katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili Rais Kikwete na mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli  wakiwa katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili Mama Salma Kikwete akijiunga na viongozi wa CCM mkoa wa Morogoro kumlaki Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili kwa mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kwa tiketi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani