Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haram wauteka mji mwingine

Kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria Boko Haram, wameuteka mji mwingine Kaskazini Mashariki ya nchi hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram yateka mji wa Marte

Wanamgambo wa kiislamu wa kundi la Boko Haram wameuteka tena mji ulioko mpakani wa Marte kulingana na naibu gavana wa jimbo hilo

 

10 years ago

GPL

BOKO HARAM LAUDHIBITI MJI WA CHIBOK

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram. Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili. Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram laushambulia mji wa Maiduguri

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria, wameshambulia tena mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lakaribia mji wa Mabu

Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa watu wanaokisia kuwa wanamgambo wa Boko Haram wanakaribia mji wa Mabu nchini Nigeria

 

10 years ago

Vijimambo

BOKO HARAM WAUDHIBITI MJI WA CHIBOK-BBC


Wapiganaji wa kundi la Boko Haram.Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili.
Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka wakati wanamgambo hao walipofanya uvamizi.wasichana zaidi ya 200...

 

10 years ago

BBCSwahili

IS wauteka mji wa Ramadi

Baada ya mapigano makali kwa siku kadhaa katika mji wa Ramadi nchini Iraq,hatimaye yamesababisha kushikiliwa kwa mji huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wauteka tena mji wa Bentiu

Wapiganaji S.Kusini wanasema wameudhibiti upya mji wa Bentiu, na wametoa makataa kwa makampuni kusitisha uchimbaji wa mafuta.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa IS wauteka mji nchini Iraq

Marekani imethibitisha kuwa wanamgambo wa Islamic State wameuteka mji wa Ali Baghdadi ulio mashariki mwa Iraq

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi wauteka Mji wa Geita, waua

Majambazi wawili jana walizua taharuki katika Mji wa Geita baada ya kuvamia na kupora fedha katika maeneo mawili tofauti kisha kumuua mtoa huduma za fedha kupitia mitandao ya simu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani