Boko Haram wauteka mji mwingine
Kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria Boko Haram, wameuteka mji mwingine Kaskazini Mashariki ya nchi hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 May
Boko Haram yateka mji wa Marte
Wanamgambo wa kiislamu wa kundi la Boko Haram wameuteka tena mji ulioko mpakani wa Marte kulingana na naibu gavana wa jimbo hilo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zCFAyXbrZcu9Z1QPIUN2tMkeWrTZcs8GTSBtxTLMnpr69dyL8iu3vZZA-H5RTzuvzVoDlN4OVbQyOD47KP9uw0*ChuTJAb8M/boko.jpg?width=650)
BOKO HARAM LAUDHIBITI MJI WA CHIBOK
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram. Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili. Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka...
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Boko Haram laushambulia mji wa Maiduguri
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria, wameshambulia tena mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa nchi.
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Boko Haram lakaribia mji wa Mabu
Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa watu wanaokisia kuwa wanamgambo wa Boko Haram wanakaribia mji wa Mabu nchini Nigeria
10 years ago
Vijimambo15 Nov
BOKO HARAM WAUDHIBITI MJI WA CHIBOK-BBC
![](http://api.ning.com/files/zCFAyXbrZcu9Z1QPIUN2tMkeWrTZcs8GTSBtxTLMnpr69dyL8iu3vZZA-H5RTzuvzVoDlN4OVbQyOD47KP9uw0*ChuTJAb8M/boko.jpg?width=650)
Wenyeji walisema kuwa wanamgambo hao walivamia mji huo siku ya alhamisi na hadi sasa mji huo uko chini ya udhibiti wao.Seneta mmoja kutoka eno hilo ameiambia BBC kuwa wanajeshi waliokuwa wakiulinda mji huo walitoroka wakati wanamgambo hao walipofanya uvamizi.
![](http://api.ning.com/files/zCFAyXbrZcvSh74kFu4-*AP2ZAmmy1forpgxQr*Y-HNLsd4osXn6PhpU0moH*lcnb0mevpgfiGBLbP0jjiZX-hgGYM19cDlB/mateka.jpg?width=650)
10 years ago
BBCSwahili18 May
IS wauteka mji wa Ramadi
Baada ya mapigano makali kwa siku kadhaa katika mji wa Ramadi nchini Iraq,hatimaye yamesababisha kushikiliwa kwa mji huo.
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Waasi wauteka tena mji wa Bentiu
Wapiganaji S.Kusini wanasema wameudhibiti upya mji wa Bentiu, na wametoa makataa kwa makampuni kusitisha uchimbaji wa mafuta.
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Wapiganaji wa IS wauteka mji nchini Iraq
Marekani imethibitisha kuwa wanamgambo wa Islamic State wameuteka mji wa Ali Baghdadi ulio mashariki mwa Iraq
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Majambazi wauteka Mji wa Geita, waua
Majambazi wawili jana walizua taharuki katika Mji wa Geita baada ya kuvamia na kupora fedha katika maeneo mawili tofauti kisha kumuua mtoa huduma za fedha kupitia mitandao ya simu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania