IS wauteka mji wa Ramadi
Baada ya mapigano makali kwa siku kadhaa katika mji wa Ramadi nchini Iraq,hatimaye yamesababisha kushikiliwa kwa mji huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Wapiganaji wa IS wauteka mji nchini Iraq
Marekani imethibitisha kuwa wanamgambo wa Islamic State wameuteka mji wa Ali Baghdadi ulio mashariki mwa Iraq
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Majambazi wauteka Mji wa Geita, waua
Majambazi wawili jana walizua taharuki katika Mji wa Geita baada ya kuvamia na kupora fedha katika maeneo mawili tofauti kisha kumuua mtoa huduma za fedha kupitia mitandao ya simu.
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Wanajeshi wa Iraq wauteka mji wa Tiqrit
Serikali ya Iraq inasema kuwa vikosi vyake vimeuteka mji wa kazkazini wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji wa ISIS.
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Waasi wauteka tena mji wa Bentiu
Wapiganaji S.Kusini wanasema wameudhibiti upya mji wa Bentiu, na wametoa makataa kwa makampuni kusitisha uchimbaji wa mafuta.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Boko Haram wauteka mji mwingine
Kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria Boko Haram, wameuteka mji mwingine Kaskazini Mashariki ya nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili19 May
Mji wa Ramadi watorokwa Iraq
Maelfu ya raia wa Iraq wanaendelea kuukimbia mji wa Ramadi huku kundi la wanamgambo wa Islamic State likiwazuia na kuendeleza mashambulizi
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Sudan Kusini:Waasi wauteka mji wa Nasir
Waasi nchini Sudan Kusini wanasema kuwa wameuteka mji muhimu wa Nasir katika jimbo la upper Nile.
10 years ago
BBCSwahili23 May
Watu 40,000 waukimbia mji wa Ramadi
Mratibu wa huduma za Umoja wa mataifa nchini Iraq amesema kuwa huenda takriban watu 40,000 wameukimbia mji wa Ramadi
10 years ago
BBCSwahili16 May
Islamic State yateka mji wa Ramadi
Waziri mkuu nchini Iraq Haider al-Abadi, anasema hawezi kuruhusu mji wa Ramadi kuingia mikononi mwa wanamgambo wa islamic state
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania