Watu 40,000 waukimbia mji wa Ramadi
Mratibu wa huduma za Umoja wa mataifa nchini Iraq amesema kuwa huenda takriban watu 40,000 wameukimbia mji wa Ramadi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii11 Jun
MAMILIONI WAUKIMBIA MJI WA MOSUL
Mamilioni wanakimbilia usalama wao katika maeneo salama
Takriban watu nusu milioni wanaripotiwa kuukimbia mji wa Mosul, nchini Iraq, ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa madhehebu ya Sunni.
Wapiganaji wa kiislamu nchini humo wanaendelea na makabiliano yao ya kulidhibiti taifa hilo, hatua ambayo Marekani inaelezea kuwa ni hatari kubwa katika eneo hilo.
ISIS, ni mojawepo ya kundi lililomeguka kutoka kwa mtandao wa Al Qaeda ambalo linadhibiti eneo kubwa la mashariki mwa Syria, magharibi na...
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mamilioni waukimbia mji wa Mosul Iraq
Takriban watu nusu milioni wanaripotiwa kuukimbia mji wa Mosul, nchini Iraq, ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa madhehebu ya Sunni.
10 years ago
BBCSwahili18 May
IS wauteka mji wa Ramadi
Baada ya mapigano makali kwa siku kadhaa katika mji wa Ramadi nchini Iraq,hatimaye yamesababisha kushikiliwa kwa mji huo.
10 years ago
BBCSwahili19 May
Mji wa Ramadi watorokwa Iraq
Maelfu ya raia wa Iraq wanaendelea kuukimbia mji wa Ramadi huku kundi la wanamgambo wa Islamic State likiwazuia na kuendeleza mashambulizi
10 years ago
BBCSwahili16 May
Islamic State yateka mji wa Ramadi
Waziri mkuu nchini Iraq Haider al-Abadi, anasema hawezi kuruhusu mji wa Ramadi kuingia mikononi mwa wanamgambo wa islamic state
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yn2_13CjDwQ/VVl0uDIS_GI/AAAAAAAA9k0/xe-_Ix_qA4o/s72-c/Ir.jpg)
KUNDI LA DOLA YA KIISLAM LAUTWAA MJI WA RAMADI NCHINI IRAQ
![](http://3.bp.blogspot.com/-yn2_13CjDwQ/VVl0uDIS_GI/AAAAAAAA9k0/xe-_Ix_qA4o/s640/Ir.jpg)
Mji wa Ramadi nchini Irak umetwaliwa na wapiganaji wa kundi la Dola ya Kiislam baada ya vikosi vya jeshi la nchi hiyo kuzidiwa nguvu na kuondoka.
![](http://1.bp.blogspot.com/-M9F4pAP8gJM/VVl0uFhilqI/AAAAAAAA9k4/qOO4o_YrEH8/s640/Ir1.jpg)
Vikosi vya askari polisi na jeshi la Irak vimelazimika kurudi nyuma baada ya siku kadhaa za mapigano makali.
Hata hivyo Marekani, imekanusha kutwaliwa kwa mji huo na kusema kuwa hali ni tete na kuongeza kuwa bado ni mapema mno kutoa taarifa ya uhakika.
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19 AnandTechView Full coverage on Google News
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7byAw4AxJdQ*t2dTxtf6RNHYdMaqCGdI6CYsVCxfzGXcgP-czOYH1XmvTQuusL8kkHxgLL5VJPMM8bJigJWPsz-4/IMG20150102WA0003.jpg?width=650)
JENGO LAANGUKA NA KUJERUHI WATU MJI MKONGWE, ZANZIBAR
Kikosi cha Uokoaji kikitoa huduma ya kwanza kwa majeruhi katika eneo la tukio.…
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mauaji Thailand: Mwanajeshi aliyeuwa watu 26 mji wa Korat auawa
Mwanajeshi aliyeuwa watu 26 Korat auawa kwa kupigwa risasi baada ya kuzingirwa usiku mzima kwenye jengo la kibiashara, polisi wamesema
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania