Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 40,000 waukimbia mji wa Ramadi

Mratibu wa huduma za Umoja wa mataifa nchini Iraq amesema kuwa huenda takriban watu 40,000 wameukimbia mji wa Ramadi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

MAMILIONI WAUKIMBIA MJI WA MOSUL

Mamilioni wanakimbilia usalama wao katika maeneo salama Takriban watu nusu milioni wanaripotiwa kuukimbia mji wa Mosul, nchini Iraq, ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa madhehebu ya Sunni. Wapiganaji wa kiislamu nchini humo wanaendelea na makabiliano yao ya kulidhibiti taifa hilo, hatua ambayo Marekani inaelezea kuwa ni hatari kubwa katika eneo hilo. ISIS, ni mojawepo ya kundi lililomeguka kutoka kwa mtandao wa Al Qaeda ambalo linadhibiti eneo kubwa la mashariki mwa Syria, magharibi na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mamilioni waukimbia mji wa Mosul Iraq

Takriban watu nusu milioni wanaripotiwa kuukimbia mji wa Mosul, nchini Iraq, ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa madhehebu ya Sunni.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS wauteka mji wa Ramadi

Baada ya mapigano makali kwa siku kadhaa katika mji wa Ramadi nchini Iraq,hatimaye yamesababisha kushikiliwa kwa mji huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mji wa Ramadi watorokwa Iraq

Maelfu ya raia wa Iraq wanaendelea kuukimbia mji wa Ramadi huku kundi la wanamgambo wa Islamic State likiwazuia na kuendeleza mashambulizi

 

10 years ago

BBCSwahili

Islamic State yateka mji wa Ramadi

Waziri mkuu nchini Iraq Haider al-Abadi, anasema hawezi kuruhusu mji wa Ramadi kuingia mikononi mwa wanamgambo wa islamic state

 

10 years ago

Vijimambo

KUNDI LA DOLA YA KIISLAM LAUTWAA MJI WA RAMADI NCHINI IRAQ


Mji wa Ramadi nchini Irak umetwaliwa na wapiganaji wa kundi la Dola ya Kiislam baada ya vikosi vya jeshi la nchi hiyo kuzidiwa nguvu na kuondoka.

Vikosi vya askari polisi na jeshi la Irak vimelazimika kurudi nyuma baada ya siku kadhaa za mapigano makali.
Hata hivyo Marekani, imekanusha kutwaliwa kwa mji huo na kusema kuwa hali ni tete na kuongeza kuwa bado ni mapema mno kutoa taarifa ya uhakika.

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

JENGO LAANGUKA NA KUJERUHI WATU MJI MKONGWE, ZANZIBAR

Kikosi cha Uokoaji kikitoa huduma ya kwanza kwa majeruhi katika eneo la tukio.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji Thailand: Mwanajeshi aliyeuwa watu 26 mji wa Korat auawa

Mwanajeshi aliyeuwa watu 26 Korat auawa kwa kupigwa risasi baada ya kuzingirwa usiku mzima kwenye jengo la kibiashara, polisi wamesema

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani