Mauaji Thailand: Mwanajeshi aliyeuwa watu 26 mji wa Korat auawa
Mwanajeshi aliyeuwa watu 26 Korat auawa kwa kupigwa risasi baada ya kuzingirwa usiku mzima kwenye jengo la kibiashara, polisi wamesema
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNU6XGSgOOjKNoKeLlAm4VGwpvUpZPDLV--VuPQC1XMrrN*xXmuNJE-o5UBqcMy2IkofTKJyAh9qCOS9gR2kjwPt/_78463771_78463770.jpg?width=650)
MWANAJESHI WA CANADA AUAWA
Mapigano yalianzia sehemu hii ya kumbukumbu ya vita tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi nchini Canada. Mwanajeshi ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa katika tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi, ambapo mji huo mkuu upo chini ya ulinzi mkali wa Polisi na wanajeshi.…
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Mali:Mwanajeshi wa kulinda amani auawa.
Afisa mmoja wa kikosi cha kulinda amani katika Umoja wa Mataifa ameuawa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo kazkazini mwa Mali.
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Zaidi ya watu 20 wameuawa Thailand
Mojawepo ya sehemu takatifu na maarufu zaidi katika mji mkuu wa Thailand, Bangkok imelipuliwa na mlipuko mkubwa
11 years ago
BBCSwahili24 May
Watu 35 zaidi waagizwa kuripoti Thailand
Serikali mpya ya jeshi nchini Thailand imewaagiza watu 35 zaidi kuripoti mbele yake katika kipindi cha masaa kadhaa.
10 years ago
Vijimambo03 Jan
Mtuhumiwa wa ujambazi na mauaji auawa na wananchi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lazaro-3Jan2015.jpg)
Mkazi wa kitongoji cha Nyahongo kilichoko kijiji cha Nyarwana wilayani Tarime mkoani Mara aliyekuwa akisakwa na polisi kwa tuhuma za ujambazi na mauaji ameuawa na wananchi katika shambulizi ambalo lililojeruhi wanakijiji watatu.
Wambura Kihongwe (40) ameuawa na wananchi kwa kukatwa mapanga kichwani na sehemu mbalimbali za mwili huku naye akiwajeruhi watu watatu waliojaribu kumkamata ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria.
Kamanda wa Polisi Tarime...
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Kiongozi wa IS aliyehusishwa na mauaji Paris auawa
Kiongozi wa kundi la Islamic State ambaye amehusishwa na shambulio la kigaidi la Paris Ufaransa ameuawa na majeshi ya muungano.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D8lGAXv8sHdPpMIP-g1WZ2HRAcpJF4YPWHJBIRilUnvWSkDsS5HQUs-ftk4ieM2xG9OrR*BxqL*zTqYBBtGimGR/FRONTUWAZI.gif?width=650)
ASKARI MAGEREZA ALIYEPANGA MAUAJI STAKISHARI AUAWA
Makongoro Oging’ na richard bukos, mkuranga MAPYA tena! Aliyekuwa askari magereza wa Gereza la Dondwe, Wilaya ya Mkuranga, Pwani, Juma Rashid ambaye Uwazi liliwahi kumripoti kuwa, ndiye ayechora ramani yote ya uvamizi na mauaji ya askari wa Kituo cha Polisi Stakishari, Dar imebainika kwamba ameuawa, Uwazi linazidi kukokotoa. ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1MznZjy ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtGCNXxluIenDwFa8MPbZupCURw5IVJPbeMsOceWSkvXEQ5CAL02-yrnIWCp0o6nisDQra5HvHacUeu2-z10ulEr/MTOTO.jpg?width=650)
MAUAJI SIKUKUU! MCHUMBA AUAWA KWA KUCHOMWA VISU
Stori: Gabriel Ng’osha na Denis Mtima
SIKU mbili kabla ya Sikukuu ya Eid el Fitr, binti aliyefahamika kwa jina la Salma Khamis (21) (pichani), amekumbwa na mauti kufuatia kuchomwa visu mwilini na mchumba wake aliyetajwa kwa jina la Omary Idd. Binti anayefahamika kwa jina la Salma Khamis (21) aliyechomwa kisu na mchumba wake,Omary Idd Tukio hilo… ...
10 years ago
BBCSwahili23 May
Watu 40,000 waukimbia mji wa Ramadi
Mratibu wa huduma za Umoja wa mataifa nchini Iraq amesema kuwa huenda takriban watu 40,000 wameukimbia mji wa Ramadi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania