Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mauaji Thailand: Mwanajeshi aliyeuwa watu 26 mji wa Korat auawa

Mwanajeshi aliyeuwa watu 26 Korat auawa kwa kupigwa risasi baada ya kuzingirwa usiku mzima kwenye jengo la kibiashara, polisi wamesema

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANAJESHI WA CANADA AUAWA

Mapigano yalianzia sehemu hii ya kumbukumbu ya vita tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi nchini Canada. Mwanajeshi ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa katika tukio linalodhaniwa kuwa la kigaidi, ambapo mji huo mkuu upo chini ya ulinzi mkali wa Polisi na wanajeshi.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Mali:Mwanajeshi wa kulinda amani auawa.

Afisa mmoja wa kikosi cha kulinda amani katika Umoja wa Mataifa ameuawa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo kazkazini mwa Mali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 20 wameuawa Thailand

Mojawepo ya sehemu takatifu na maarufu zaidi katika mji mkuu wa Thailand, Bangkok imelipuliwa na mlipuko mkubwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 35 zaidi waagizwa kuripoti Thailand

Serikali mpya ya jeshi nchini Thailand imewaagiza watu 35 zaidi kuripoti mbele yake katika kipindi cha masaa kadhaa.

 

10 years ago

Vijimambo

Mtuhumiwa wa ujambazi na mauaji auawa na wananchi

Kamanda wa Polisi Tarime Rorya, Lazaro Mambosasa
Mkazi wa kitongoji cha Nyahongo kilichoko kijiji cha Nyarwana wilayani Tarime mkoani Mara aliyekuwa akisakwa na polisi kwa tuhuma za ujambazi na mauaji ameuawa na wananchi katika shambulizi ambalo lililojeruhi wanakijiji watatu.

Wambura Kihongwe (40) ameuawa na wananchi kwa kukatwa mapanga kichwani na sehemu mbalimbali za mwili huku naye akiwajeruhi watu watatu waliojaribu kumkamata ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria.

Kamanda wa Polisi Tarime...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa IS aliyehusishwa na mauaji Paris auawa

Kiongozi wa kundi la Islamic State ambaye amehusishwa na shambulio la kigaidi la Paris Ufaransa ameuawa na majeshi ya muungano.

 

9 years ago

GPL

ASKARI MAGEREZA ALIYEPANGA MAUAJI STAKISHARI AUAWA

Makongoro Oging’ na richard bukos, mkuranga  MAPYA tena! Aliyekuwa askari magereza wa Gereza la Dondwe, Wilaya ya Mkuranga, Pwani, Juma Rashid ambaye Uwazi liliwahi kumripoti kuwa, ndiye ayechora ramani yote ya uvamizi na mauaji ya askari wa Kituo cha Polisi Stakishari, Dar imebainika kwamba ameuawa, Uwazi linazidi kukokotoa. ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1MznZjy ...

 

11 years ago

GPL

MAUAJI SIKUKUU! MCHUMBA AUAWA KWA KUCHOMWA VISU

Stori: Gabriel Ng’osha na Denis Mtima
SIKU mbili kabla ya Sikukuu ya Eid el Fitr, binti aliyefahamika kwa jina la Salma Khamis (21) (pichani), amekumbwa na mauti kufuatia kuchomwa visu mwilini na mchumba wake aliyetajwa kwa jina la Omary Idd. Binti anayefahamika kwa jina la Salma Khamis (21) aliyechomwa kisu na mchumba wake,Omary Idd Tukio hilo… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 40,000 waukimbia mji wa Ramadi

Mratibu wa huduma za Umoja wa mataifa nchini Iraq amesema kuwa huenda takriban watu 40,000 wameukimbia mji wa Ramadi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani