ASKARI MAGEREZA ALIYEPANGA MAUAJI STAKISHARI AUAWA
![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D8lGAXv8sHdPpMIP-g1WZ2HRAcpJF4YPWHJBIRilUnvWSkDsS5HQUs-ftk4ieM2xG9OrR*BxqL*zTqYBBtGimGR/FRONTUWAZI.gif?width=650)
Makongoro Oging’ na richard bukos, mkuranga MAPYA tena! Aliyekuwa askari magereza wa Gereza la Dondwe, Wilaya ya Mkuranga, Pwani, Juma Rashid ambaye Uwazi liliwahi kumripoti kuwa, ndiye ayechora ramani yote ya uvamizi na mauaji ya askari wa Kituo cha Polisi Stakishari, Dar imebainika kwamba ameuawa, Uwazi linazidi kukokotoa. ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1MznZjy ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi27 Nov
KESI YA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA ASKARI WA KITUO CHA STAKISHARI YAAHIRISHWA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeairisha kesi inayowakabili watuhumiwa kumi (10)wa ujambazi wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari Polisi wa kituo Stakishari jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari wa Kituo cha Stakishari ni Omary makota(28),Rajab Ulatule(22),Ramadhani Ulatule(20),Fadhiri Lukwembe(23),Ally Salum(63).
Wengine ni Hamis Salum(51),Nassoro Abdalah(42)Seleman Salum(83),Said Mohamed(67) na Said Abdulah(45)....
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
THBUB yalaani mauaji ya askari polisi na raia Stakishari — DSM
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Tom Nyanduga.
Tamko la THBUB kulaani Mauaji ya Polisi Stakishari-DSM.pdf
10 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AMPANDISHA CHEO CHA SAJIN WA MAGEREZA ASKARI WA KIKE, MWANARIADHA WA KIMATAIFA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KI8giqmjoaQ/U1l2su9G4bI/AAAAAAAFcu4/BMwC-to__W8/s72-c/m1.jpg)
ASKARI MAGEREZA ALIYEKUFA AJALINI MKURANGA AAGWA CHUO CHA MAAFISA MAGEREZA UKONGA LEO, JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-KI8giqmjoaQ/U1l2su9G4bI/AAAAAAAFcu4/BMwC-to__W8/s1600/m1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HXUv1RVfyy8/U1l2Iu8JnmI/AAAAAAAFcuU/K_DvaUzb9-k/s1600/m2.jpg)
10 years ago
VijimamboKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN MINJA AMPANDISHA CHEO CHA SAJIN WA MAGEREZA ASKARI WA KIKE, MWANARIADHA WA KIMATAIFA JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3egSS7YqUZ2j9p10Xq9Hcr4UqAPNFTiHtyGqA-c7gWezeSsOWtIyBEyfmEhdtDnIDjzcJNmKnyOgkBySUqNfQJj/FRONTUWAZI.gif?width=650)
UKWELI MAUAJI POLISI STAKISHARI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi67GD*hwYL-CgcWHrZFaflWCv-r6YRToMwNZ*335cR6CVJyvI84WmlVfLrJKp0fB6XJusfRdl2Hopp-rMMqLJFLI/Kova.gif?width=650)
KOVA: MFADHILI MAUAJI STAKISHARI... NI HUYU
10 years ago
Habarileo16 Jul
Mauaji Stakishari yaibua mapya Polisi
JESHI la Polisi nchini jana liliwaaga kwa heshima zote za kijeshi askari wake wawili kati ya wanne waliouawa wakiwa katika kituo cha kazi cha Stakishari, Ukonga jijini Dar es Salaam, huku likiahidi kufanya mapinduzi kadhaa ya kiutendaji.