KOVA: MFADHILI MAUAJI STAKISHARI... NI HUYU
![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi67GD*hwYL-CgcWHrZFaflWCv-r6YRToMwNZ*335cR6CVJyvI84WmlVfLrJKp0fB6XJusfRdl2Hopp-rMMqLJFLI/Kova.gif?width=650)
Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa IMEBUMBULUKA! Hatimaye Jeshi la Polisi Tanzania (PT) limeanika picha ya mtu anayedaiwa kuwa ndiye mfadhili mkuu wa matukio mbalimbali yanayohusishwa na ugaidi likiwemo lile la mauaji ya watu saba kwenye Kituo cha Polisi Stakishari, Dar lililotokea saa 5 usiku, Julai 12, mwaka huu na yale mapigano ya Amboni, Tanga.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1JSWm4E  ...
GPL
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10