KOVA: MFADHILI MAUAJI STAKISHARI... NI HUYU

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa IMEBUMBULUKA! Hatimaye Jeshi la Polisi Tanzania (PT) limeanika picha ya mtu anayedaiwa kuwa ndiye mfadhili mkuu wa matukio mbalimbali yanayohusishwa na ugaidi likiwemo lile la mauaji ya watu saba kwenye Kituo cha Polisi Stakishari, Dar lililotokea saa 5 usiku, Julai 12, mwaka huu na yale mapigano ya Amboni, Tanga.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1JSWm4E  ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
UKWELI MAUAJI POLISI STAKISHARI
10 years ago
Habarileo16 Jul
Mauaji Stakishari yaibua mapya Polisi
JESHI la Polisi nchini jana liliwaaga kwa heshima zote za kijeshi askari wake wawili kati ya wanne waliouawa wakiwa katika kituo cha kazi cha Stakishari, Ukonga jijini Dar es Salaam, huku likiahidi kufanya mapinduzi kadhaa ya kiutendaji.
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Kortini kwa mauaji ya polisi na raia Stakishari
10 years ago
GPL
ASKARI MAGEREZA ALIYEPANGA MAUAJI STAKISHARI AUAWA
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
THBUB yalaani mauaji ya askari polisi na raia Stakishari — DSM
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Tom Nyanduga.
Tamko la THBUB kulaani Mauaji ya Polisi Stakishari-DSM.pdf
9 years ago
Michuzi27 Nov
KESI YA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA ASKARI WA KITUO CHA STAKISHARI YAAHIRISHWA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeairisha kesi inayowakabili watuhumiwa kumi (10)wa ujambazi wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari Polisi wa kituo Stakishari jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari wa Kituo cha Stakishari ni Omary makota(28),Rajab Ulatule(22),Ramadhani Ulatule(20),Fadhiri Lukwembe(23),Ally Salum(63).
Wengine ni Hamis Salum(51),Nassoro Abdalah(42)Seleman Salum(83),Said Mohamed(67) na Said Abdulah(45)....
10 years ago
Michuzi15 Jul
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Kova: Tumekamata wawili kwa mauaji ya sista D’Salaam
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Mfadhili wa CCM ahamia CHADEMA
KADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mfadhili wa chama hicho, Sanito Samson na mkewe, Dativa Sanito, wamehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakielezea kuchoshwa kuchangishwa fedha au...