Kova: Tumekamata wawili kwa mauaji ya sista D’Salaam
>Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imewakamata watu wanane na kati ya hao, wawili wakidaiwa kuhusika na mauaji ya Sista wa Kanisa Katoliki, Cresencia Kapuri na wengine, uporaji wa Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Wawili mbaroni kwa mauaji ya sista Dar
EVA MBESELE NA RACHEL KYALA
JESHI la Polisi limewakamata watu wawili wanaotuhumiwa kuhusika na kifo cha Mtawa wa Kanisa Katoliki, Clesencia Kapuri (50) aliyeuawa Juni 23, mwaka huu, huko Ubungo Kibangu, Dar es Salaam.
Majambazi hao licha ya kuhusishwa na tukio hilo na kupora sh. milioni 20, pia walikuwa wakitafutwa kwa muda mrefu kwa tuhuma za tukio la uporaji wa fedha katika benki ya Barclays tawi la Kinondoni.
Hata hivyo, kinara wa ujambazi katika tukio la uporaji kwenye benki hiyo,...
11 years ago
CloudsFM25 Jun
POLISI KUFANYA MSAKO MKALI KWA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA SISTA WA KANISA KATOLIKI
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imeanzisha msako mkali, kuwatafuta watu waliohusika na mauaji ya Mhasibu wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka jijini Dar es Salaam, Sista Cresencia Kapuri (50), ambao utahusisha vikosi vyote vya Polisi. Vikosi hivyo ni Usalama Barabarani, askari wa doria wanaotumia pikipiki na magari, wapelelezi na askari Polisi wa kawaida.
Mauaji ya mtawa huyo, yalitokea juzi mchana katika eneo la Ubungo Riverside, jijini humo, ambapo alipigwa risasi na watu wanaodaiwa...
10 years ago
Michuzi31 Mar
11 years ago
Mwananchi25 Jun
MAUAJI: ‘Waliomuua Sista walipora Sh20 mil’
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi67GD*hwYL-CgcWHrZFaflWCv-r6YRToMwNZ*335cR6CVJyvI84WmlVfLrJKp0fB6XJusfRdl2Hopp-rMMqLJFLI/Kova.gif?width=650)
KOVA: MFADHILI MAUAJI STAKISHARI... NI HUYU
9 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-whbe4XgQ2yk/VgWHspUFSGI/AAAAAAAADmY/CNlRrsb-4zo/s72-c/unnamed.png)
NEW MUSIC: NAKAAYA - SISTA SISTA ft. LADY JAY DEE (Download)
![](http://4.bp.blogspot.com/-whbe4XgQ2yk/VgWHspUFSGI/AAAAAAAADmY/CNlRrsb-4zo/s640/unnamed.png)
" I wrote this record in 2009 alongside an artist that i had looked up to, whom later on became a dear friend @jidejaydee It was produced by @dunga_santury_trinity at Fishcrab studios. The idea behind the song was an artistic idea of two close friends/ sistas dating the same man, and the expression of the frustration that comes with it. we had a great time creating #sistasista" - NAKAAYA
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pLakhoz5yjI/U-IWnkcrNsI/AAAAAAAF9jU/QWPNJvqQZ38/s72-c/unnamed+(51).jpg)
WATU WATANO (5) MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MADEREVA WAWILI WA BODABODA MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-pLakhoz5yjI/U-IWnkcrNsI/AAAAAAAF9jU/QWPNJvqQZ38/s1600/unnamed+(51).jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu watano (5) kwa kuhusika na mauaji ya madereva wawili wa bodaboda kwa nyakati tofauti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema watuhumiwa watatu ambao ni ALEX S/O LETEMA LEWENJE mweye umri wa miaka 20, Mkaguru, ANDREA S/O MAJUTO CHIGUNDULA mwenye umri wa miaka 24, Mkaguru na NABAKI S/O MAUNGO MWIGOE mwnye umri wa miaka 23, Mkaguru wote...
9 years ago
Bongo524 Nov
Music: Nakaaya Ft Lady Jay Dee – Sista Sista
![artist_85e17a792a137725bd638accbd98ec0249.jpg](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/artist_85e17a792a137725bd638accbd98ec0249.jpg-300x194.png)
Sikiliza hapa wimbo unaitwa “Sista Sista” kutoka kwa msanii Nakaaya amemshirikisha Lady Jay Dee,Studio Mandugu Digito.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo528 Sep
Nakaaya akumbushia pressure aliyokuwa nayo wakati wa kujiandaa kurekodi wimbo na Lady Jaydee ‘Sista Sista’