MAUAJI: ‘Waliomuua Sista walipora Sh20 mil’
>Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam imesema majambazi waliohusika na mauaji ya Sista wa Kanisa Katoliki, Clencensia Kapuli wamepora kiasi cha Sh20 milioni na nyaraka mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog01 Jul
Waliomuua sista na kuchukua hela watiwa mbaroni!
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova.
Na MOblog Team
Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi wanaohusishwa na mauaji ya mtawa wa kaniasa Katoliki Sista Clezensia Kapuli,
Zaidi ya watuhumiwa hao pia watu wengine sita wanashikiliwa wakihusishwa na matukio mbali mbali ya ujambazi nchini.
Hayo yamesemwa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar esSalaam Kamishna Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Wawili mbaroni kwa mauaji ya sista Dar
EVA MBESELE NA RACHEL KYALA
JESHI la Polisi limewakamata watu wawili wanaotuhumiwa kuhusika na kifo cha Mtawa wa Kanisa Katoliki, Clesencia Kapuri (50) aliyeuawa Juni 23, mwaka huu, huko Ubungo Kibangu, Dar es Salaam.
Majambazi hao licha ya kuhusishwa na tukio hilo na kupora sh. milioni 20, pia walikuwa wakitafutwa kwa muda mrefu kwa tuhuma za tukio la uporaji wa fedha katika benki ya Barclays tawi la Kinondoni.
Hata hivyo, kinara wa ujambazi katika tukio la uporaji kwenye benki hiyo,...
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Kova: Tumekamata wawili kwa mauaji ya sista D’Salaam
11 years ago
CloudsFM25 Jun
POLISI KUFANYA MSAKO MKALI KWA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA SISTA WA KANISA KATOLIKI
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imeanzisha msako mkali, kuwatafuta watu waliohusika na mauaji ya Mhasibu wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka jijini Dar es Salaam, Sista Cresencia Kapuri (50), ambao utahusisha vikosi vyote vya Polisi. Vikosi hivyo ni Usalama Barabarani, askari wa doria wanaotumia pikipiki na magari, wapelelezi na askari Polisi wa kawaida.
Mauaji ya mtawa huyo, yalitokea juzi mchana katika eneo la Ubungo Riverside, jijini humo, ambapo alipigwa risasi na watu wanaodaiwa...
9 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-whbe4XgQ2yk/VgWHspUFSGI/AAAAAAAADmY/CNlRrsb-4zo/s72-c/unnamed.png)
NEW MUSIC: NAKAAYA - SISTA SISTA ft. LADY JAY DEE (Download)
![](http://4.bp.blogspot.com/-whbe4XgQ2yk/VgWHspUFSGI/AAAAAAAADmY/CNlRrsb-4zo/s640/unnamed.png)
" I wrote this record in 2009 alongside an artist that i had looked up to, whom later on became a dear friend @jidejaydee It was produced by @dunga_santury_trinity at Fishcrab studios. The idea behind the song was an artistic idea of two close friends/ sistas dating the same man, and the expression of the frustration that comes with it. we had a great time creating #sistasista" - NAKAAYA
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the...
9 years ago
Bongo524 Nov
Music: Nakaaya Ft Lady Jay Dee – Sista Sista
![artist_85e17a792a137725bd638accbd98ec0249.jpg](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/artist_85e17a792a137725bd638accbd98ec0249.jpg-300x194.png)
Sikiliza hapa wimbo unaitwa “Sista Sista” kutoka kwa msanii Nakaaya amemshirikisha Lady Jay Dee,Studio Mandugu Digito.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo528 Sep
Nakaaya akumbushia pressure aliyokuwa nayo wakati wa kujiandaa kurekodi wimbo na Lady Jaydee ‘Sista Sista’
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Viongozi wa kanisa walipora sadaka Singapore
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-k5ilM3q2WxY/U5hYVSDEPfI/AAAAAAAAFEE/1bgV3NCA01E/s72-c/moshi-1.jpg)
Breaking Newss:WAKENYA WAWILI WAHUKUMIWA KUNYONGWA,NI WALE WALIPORA FEDHA BENKI YA NMB TAWI LA MWANGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-k5ilM3q2WxY/U5hYVSDEPfI/AAAAAAAAFEE/1bgV3NCA01E/s1600/moshi-1.jpg)
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
MAHAKAMA kuu kanda ya Moshi imetoa adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa washtakiwa wawili raia wa Kenya katika kesi ya mauaji ya askari Polisi, Pc Michael Milanzi, wakati wa tukio la uporaji wa fedha katika benki ya NMB tawi la Mwanga mkoani Kilimanjaro. Mbali na hukumu hiyo iliyosomwa na Jaji mfawidhi wa Mahakama kuu, Kakusulo Sambo kwa zaidi ya saa, nne ,Mshatakiwa wa tatu katika kesi hiyo ,Karisti Kanje(Mtanzania) yeye amehukumiwa...