Breaking Newss:WAKENYA WAWILI WAHUKUMIWA KUNYONGWA,NI WALE WALIPORA FEDHA BENKI YA NMB TAWI LA MWANGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-k5ilM3q2WxY/U5hYVSDEPfI/AAAAAAAAFEE/1bgV3NCA01E/s72-c/moshi-1.jpg)
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
MAHAKAMA kuu kanda ya Moshi imetoa adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa washtakiwa wawili raia wa Kenya katika kesi ya mauaji ya askari Polisi, Pc Michael Milanzi, wakati wa tukio la uporaji wa fedha katika benki ya NMB tawi la Mwanga mkoani Kilimanjaro.
Mbali na hukumu hiyo iliyosomwa na Jaji mfawidhi wa Mahakama kuu, Kakusulo Sambo kwa zaidi ya saa, nne ,Mshatakiwa wa tatu katika kesi hiyo ,Karisti Kanje(Mtanzania) yeye amehukumiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Wizi NMB Mwanga: Wakenya wawili wahukumiwa kifo
10 years ago
Mtanzania20 Dec
Wauaji wa Ubungo wahukumiwa kunyongwa - Ni wale waliohusishwa na uporaji wa fedha za NMB
![Jaji Mkuu Othman Chande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/Jaji-Chande1.jpg)
Jaji Mkuu Othman Chande
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam,
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa washtakiwa sita katika kesi ya mauaji ya askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wa mkoani Morogoro na mfanyakazi wa Benki ya NMB, maarufu kama mauaji ya Ubungo Mataa.
Washtakiwa hao waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa jana na Jaji Projest Rugazia ni Haji Kiweru, Mashaka Pastory, Wycliff Imbora, John Mndasha, Martine Mndasha na Rashidi Abdikadir.
Jaji Rugazia...
9 years ago
StarTV22 Nov
Mh Sakalambi na wenzake wawili wahukumiwa kunyongwa
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Tabora jana imewahukumu kunyongwa hadi kufa Mweshimiwa Sakalambi na wenzake wawili waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka ya mauaji ya watu wawili kwa kukusudia.
Watu hao walipanga njama za kutekeleza mauaji ya watu wawili mume na mkewe julai 9/2012 kwa kuwakatakata na mapanga hadi kifo katika kijiji cha Inala one Kata Ndevelwa katika Manispaa ya Tabora.
Katika hukumu hiyo iliyosomwa kwa zaidi ya masaa mawili na Jaji John Utamwa amesema ameridhika pasipo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKkXjxb27jdW9-WzoyL7yA*Y7peCKPAb2H2JR3fwK9uuCypElmYME7-lLZWdRrIF9Dp6uj4baq77HO*PZZZPiKy1/WEZI5.jpg?width=640)
MAJAMBAZI WAKAMATWA WAKITAKA KUIBA KATIKA BENKI YA NMB TAWI LA SINZA-MORI, DAR
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KILIMANJARO,AMOS MAKALLA ASHIRIKI KIFUNGUA KINYWA NA WAFANYAKAZI PAMOJA NA WATEJA WA BENKI YA NMB TAWI LA NELSON MANDELA-MOSHI
Pamoja na mafanikio hayo ameishauri benki hiyo kuendelea kuwa wabunifu wa bidhaa na kuendeleza huduma bora...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IkJxXIWbW4Q/VIVmKQdQ8bI/AAAAAAAG16M/W3ptxpvPn64/s72-c/unnamed%2B(1).png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MAJAMBAZI YAUA ASKARI NA KUPORA FEDHA BENKI YA NMB, MKURANGA