Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizi NMB Mwanga: Wakenya wawili wahukumiwa kifo

Raia wawili wa Kenya, Samweli Saitoti (Saimoo) na Michael Kimani (Mike), wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), PC Michael Milanzi mwaka 2007.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Breaking Newss:WAKENYA WAWILI WAHUKUMIWA KUNYONGWA,NI WALE WALIPORA FEDHA BENKI YA NMB TAWI LA MWANGA.



Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
MAHAKAMA kuu kanda ya Moshi imetoa adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa washtakiwa wawili raia wa Kenya katika  kesi ya mauaji ya askari Polisi, Pc Michael Milanzi, wakati wa tukio la uporaji  wa fedha katika benki ya NMB tawi la Mwanga mkoani Kilimanjaro. Mbali na hukumu hiyo iliyosomwa na Jaji mfawidhi wa Mahakama kuu, Kakusulo Sambo kwa zaidi ya saa, nne ,Mshatakiwa wa tatu katika kesi hiyo ,Karisti Kanje(Mtanzania) yeye amehukumiwa...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Waliopora NMB wahukumiwa kifo


NA WILLIUM PAUL, MOSHI
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imewahukumu raia wawili wa Kenya, kunyongwa hadi kufa baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kumuua kwa kukusudia askari Polisi, wakati wa tukio la uporaji la Benki ya NMB, Mwanga.
Wakati Wakenya hao Samwel Saitoti na Michael Kimani, wakipewa adhabu hiyo, Mtanzania Calist Kanje alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kuwa mshiriki mkuu.
Akisoma hukumu hiyo, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kakusulo Sambo, alisema baada ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Saba wahukumiwa wizi ATM

Mahakama ya Wilaya ya Karagwe imewahukumu watu saba akiwamo mwanamke mmoja kwa makosa mbalimbali ya wizi wa mifugo na kutumia kadi za benki maarufu ATM.

 

10 years ago

Habarileo

Wakenya 4 mbaroni kwa wizi wa magari

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence NgonyaniPOLISI Mkoa wa Kilimanjaro, inawashikilia wezi wanne wa magari akiwamo mwanamke mmoja wote raia wa Kenya, kwa tuhuma za wizi wa gari na kutaka kulificha nchini Tanzania.

 

9 years ago

StarTV

Mh Sakalambi na wenzake wawili wahukumiwa kunyongwa

Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Tabora jana imewahukumu kunyongwa hadi kufa Mweshimiwa Sakalambi na wenzake wawili waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka ya mauaji ya watu wawili  kwa kukusudia.

Watu hao walipanga njama za kutekeleza mauaji ya watu wawili mume na mkewe julai 9/2012 kwa kuwakatakata na mapanga hadi kifo katika kijiji cha Inala one Kata Ndevelwa katika Manispaa ya Tabora.

 Katika hukumu hiyo iliyosomwa kwa zaidi ya masaa mawili na Jaji  John Utamwa amesema ameridhika pasipo...

 

10 years ago

Mtanzania

Wauaji wa Ubungo wahukumiwa kunyongwa - Ni wale waliohusishwa na uporaji wa fedha za NMB

Jaji Mkuu Othman Chande

Jaji Mkuu Othman Chande

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam,
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa washtakiwa sita katika kesi ya mauaji ya askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wa mkoani Morogoro na mfanyakazi wa Benki ya NMB, maarufu kama mauaji ya Ubungo Mataa.
Washtakiwa hao waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa jana na Jaji Projest Rugazia ni Haji Kiweru, Mashaka Pastory, Wycliff Imbora, John Mndasha, Martine Mndasha na Rashidi Abdikadir.
Jaji Rugazia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Nigeria wahukumiwa kifo

Mhakama moja ya kijeshi nchini Nigeria imewahukumu kifo askari 54 kwa kukataa kupigana na kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanne wahukumiwa kifo Mwanza

Mahakama kuu ya Tanzania Mwanza imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne wa mauaji ya albino.

 

11 years ago

BBCSwahili

683 wahukumiwa kifo Misri

Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahuku kifo watt 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani