Waliopora NMB wahukumiwa kifo
NA WILLIUM PAUL, MOSHI
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imewahukumu raia wawili wa Kenya, kunyongwa hadi kufa baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kumuua kwa kukusudia askari Polisi, wakati wa tukio la uporaji la Benki ya NMB, Mwanga.
Wakati Wakenya hao Samwel Saitoti na Michael Kimani, wakipewa adhabu hiyo, Mtanzania Calist Kanje alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kuwa mshiriki mkuu.
Akisoma hukumu hiyo, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kakusulo Sambo, alisema baada ya...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Wizi NMB Mwanga: Wakenya wawili wahukumiwa kifo
10 years ago
Mtanzania20 Dec
Wauaji wa Ubungo wahukumiwa kunyongwa - Ni wale waliohusishwa na uporaji wa fedha za NMB
![Jaji Mkuu Othman Chande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/Jaji-Chande1.jpg)
Jaji Mkuu Othman Chande
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam,
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa washtakiwa sita katika kesi ya mauaji ya askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wa mkoani Morogoro na mfanyakazi wa Benki ya NMB, maarufu kama mauaji ya Ubungo Mataa.
Washtakiwa hao waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa jana na Jaji Projest Rugazia ni Haji Kiweru, Mashaka Pastory, Wycliff Imbora, John Mndasha, Martine Mndasha na Rashidi Abdikadir.
Jaji Rugazia...
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
529 wahukumiwa kifo Misri
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
683 wahukumiwa kifo Misri
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Wanne wahukumiwa kifo Mwanza
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Wanajeshi wa Nigeria wahukumiwa kifo
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
3 wahukumiwa kifo kwa ubakaji India
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
683 wahukumiwa kifo nchini Misri
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Watu 4 wahukumiwa kifo Saudi Arabia