Watu 4 wahukumiwa kifo Saudi Arabia
3 kati yao wamepatikana na hatia ya mauaji na 1 kuuza dawa za kulevya. Amnesty International limeshtumu mfumo wa sheria wa Saudia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wanasheria watatu wahukumiwa kifungo Saudi Arabia
Na Mwandishi wetu
Mahakama nchini saudi arabia imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitano mpaka nane kwa wanasheria watatu nchini humo, kwa kosa la kukosa mfumo wa haki za nchi katika mtandao wa kijamii blogs na twitter.
Shirika la habari nchini Saudi Arabia limesema kuwa wanasheria hao wamepatikana na hatia ya kuwadharau watawala na kudharau mfumo wa mahakama wa nchi hiyo.
Mahakama imesema wanasheria hao watazuiliwa kufanya mawasiliano na jamii pamoja na chombo chochote cha habari nchini...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s72-c/download.jpg)
JK AOMBOLEZA KIFO CHA Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud wa saudi Arabia
![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s1600/download.jpg)
Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud (90) ambaye alifariki jana, Alhamisi, Januari 22, 2015, na kuzikwa leo, Ijumaa, Januari 23, 2015 mjini Riyadh.Katika salamu zake kwa Mfalme mpya, Mfalme Salman bin Abdul Aziz al Saud, Rais Kikwete amesema kuwa anaungana na wananchi wa Saudi Arabia na dunia nzima kuomboleza kifo cha kiongozi aliyetoa mchango mkubwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/150911140445-02-mecca-crane-0911-restricted-exlarge-169.jpg?width=650)
MSIKITI NCHINI SAUDI ARABIA WAPOROMOKA NA KUUA WATU 107
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MAKKA-1.jpg)
ZAIDI YA WATU 220 WAFARIKI KWA KUKANYAGANA, MAKKA-SAUDI ARABIA
10 years ago
Dewji Blog25 Jan
Rais Kikwete aelekea Saudi Arabia kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amekwenda Saudi Arabia asubuhi ya leo, Jumapili, Januari 25, 2015, kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud aliyefariki Alhamisi na kuzikwa Ijumaa ya wiki iliyopita.
Baada ya kuhani msiba wa Mfalme Abdullah, Rais Kikwete ataendelea na safari yake kwenda nchi za Ujerumani na Ufaransa kwa ziara za kikazi.
Mjini Berlin, Ujerumani ambako Rais Kikwete alitarajiwa kuwasili kesho, Jumatatu, Januari...
10 years ago
BBCSwahili07 Sep
Watu saba wahukumiwa kifo kwa ubakaji.
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Obama azuru Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Houthi washambulia Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Saudi Arabia yawahukumu wanasheria