Saudi Arabia yawahukumu wanasheria
Mahakama nchini Saudi Arabia imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitano mpaka nane kwa wanasheria wa tatu nchini humo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wanasheria watatu wahukumiwa kifungo Saudi Arabia
Na Mwandishi wetu
Mahakama nchini saudi arabia imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitano mpaka nane kwa wanasheria watatu nchini humo, kwa kosa la kukosa mfumo wa haki za nchi katika mtandao wa kijamii blogs na twitter.
Shirika la habari nchini Saudi Arabia limesema kuwa wanasheria hao wamepatikana na hatia ya kuwadharau watawala na kudharau mfumo wa mahakama wa nchi hiyo.
Mahakama imesema wanasheria hao watazuiliwa kufanya mawasiliano na jamii pamoja na chombo chochote cha habari nchini...
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Obama azuru Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Tumehitimisha mashambulizi:Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Houthi washambulia Saudi Arabia
11 years ago
BBCSwahili19 May
Saudi Arabia yafunga ubalozi Libya
11 years ago
BBCSwahili15 Jun
Saudi Arabia yakataza vibarua juani
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82783000/jpg/_82783959_senegalafp.jpg)
9 years ago
BBCSwahili13 Dec
Mwanamke wa kwanza achaguliwa Saudi Arabia
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Mafuta kuporomoka yaumiza Saudi Arabia