Wanasheria watatu wahukumiwa kifungo Saudi Arabia
Na Mwandishi wetu
Mahakama nchini saudi arabia imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitano mpaka nane kwa wanasheria watatu nchini humo, kwa kosa la kukosa mfumo wa haki za nchi katika mtandao wa kijamii blogs na twitter.
Shirika la habari nchini Saudi Arabia limesema kuwa wanasheria hao wamepatikana na hatia ya kuwadharau watawala na kudharau mfumo wa mahakama wa nchi hiyo.
Mahakama imesema wanasheria hao watazuiliwa kufanya mawasiliano na jamii pamoja na chombo chochote cha habari nchini...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Saudi Arabia yawahukumu wanasheria
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Watu 4 wahukumiwa kifo Saudi Arabia
5 years ago
BBCSwahili07 Mar
Saudi Arabia yawakamata wanawafalme watatu wakuu kutoka familia hiyo
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
230 wahukumiwa kifungo cha maisha Misri
9 years ago
StarTV01 Dec
Watu 8 wahukumiwa kifungo cha miaka 32 Nzega
Mahakama ya Hakimu mkazi wilaya ya Nzega Mkoani Tabora imewahukumu watu wanane kwenda jela miaka 32 kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu Tofali sita na nusu zenye thamani ya zaidi Billion 4 katika mgodi wa dhahabu wa Resolute uliopo wilayani Nzega na wengine wanane wakiachiwa huru baada ya kuonekana hawana hatia.
Akitoa hukumu hiyo hakim mkazi wilaya Silyvester Kainda ameiambia mahakama hiyo kuwa washitakiwa Mawazo Saliboko ,Edward Bunera ,Shaaban Amuru,John Ndaki,Pius Shija ,ALoyce...
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Obama azuru Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Houthi washambulia Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Tumehitimisha mashambulizi:Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Buriani kwa mfalme wa Saudi Arabia