Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu saba wahukumiwa kifo kwa ubakaji.

Watu saba wamehukumiwa kifo baada ya kuwabaka kwa zamu wanawake wanne nje ya mji mkuu wa Afghanista,kabul mwezi uliopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

7 WAHUKUMIWA KIFO KWA UBAKAJI AFGHANISTAN

Mmoja wa watuhumiwa hao waliohukumiwa kifo. Hukumu hiyo wakati ikitolewa. WANAUME saba nchini Afghanistan, leo wamehukumiwa kifo baada ya kubainika kuwa waliwabaka kwa zamu…

 

11 years ago

BBCSwahili

3 wahukumiwa kifo kwa ubakaji India

Wanaume watatu wamehukumiwa kifo Mjini Mumbai, India baada ya kupatikana na hatia katika visa tofauti vya ubakaji

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 4 wahukumiwa kifo Saudi Arabia

3 kati yao wamepatikana na hatia ya mauaji na 1 kuuza dawa za kulevya. Amnesty International limeshtumu mfumo wa sheria wa Saudia

 

9 years ago

BBCSwahili

6 wahukumiwa kifo kwa kuua wato 2 Bangladesh

Wanaume 6 wamehukumiwa kifo kwa kupatikana na hatia ya kuua watoto 2 katika visa vilivyoibua hasira kali nchini Bangladesh

 

9 years ago

Habarileo

Sita wahukumiwa kifo kwa kumpasua fuvu mwenzao

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imewatia hatiani watu sita na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Oden Msongela (40), Philibert Majaliwa (20), Edwin Simba (30), Sabas Alfred (19),Wenseslaus Kakwale (30) na Maiko Simfukwe (33). Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mwakipombe Sango.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 12 wahukumiwa kwa mashambulio ya mabomu

Mahakama nchini India imewapata na hatia wanaume 12 kwa kuhusika na mashambulizi ya mabomu kwenye treni mjini Mumbai mwaka 2006

 

9 years ago

StarTV

Watu wa nne wahukumiwa miaka 32 jela kwa uvamizi Nzega.

Mahakama  ya hakimu  mkazi wilaya ya nzega imewahukumu  kifungo cha miaka 32 jela watu nane kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu tofali  sita na nusu zenye thamani ya zaidi ya hsilingi bilioni 4 katika mgodi wa dhahabu wa resolute

Akitoa hukumu hiyo hakimu mkazi silyvester  kainda amesema washitakiwa mawazo saliboko ,edward  bunera  ,shaaban  amuru,john  ndaki,pius  shija ,aloyce  zindoro ,davidi  ndaki  pamoja na frenk  kabuche wamehukumiwa  kwenda  jela miaka  30 baada  kutiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Saba wahukumiwa wizi ATM

Mahakama ya Wilaya ya Karagwe imewahukumu watu saba akiwamo mwanamke mmoja kwa makosa mbalimbali ya wizi wa mifugo na kutumia kadi za benki maarufu ATM.

 

5 years ago

Michuzi

ALIYEKUWA MWEKA HAZINA SIMANJIRO NA MHASIBU WAHUKUMIWA MIAKA SABA JELA


Na Mwandishi wetu
ALIYEKUWA mweka hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Peter Mollel na mhasibu msaidizi Ester Melkior wamehukumiwa kifungo cha miaka saba kwenda jela na kulipa faini ya shilingi milioni 36 kila mmoja kwa makosa ya wizi wakiwa mtumishi wa umma. 
Kwa nyakati tofauti kati ya mwaka 2008 na 2010 watu hao walishirikiana kuzidisha orodha ya walipwaji mishahara ya watumishi wa halmashauri hiyo na kuwasilisha benki kisha kujipatia sh34.5 milioni. 
Naibu msajili wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani