Watu saba wahukumiwa kifo kwa ubakaji.
Watu saba wamehukumiwa kifo baada ya kuwabaka kwa zamu wanawake wanne nje ya mji mkuu wa Afghanista,kabul mwezi uliopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mi8MFV45rAjOY-F5oCEccZl-QXerGM7g*Q9fRcMXSnAN5Rk7tKZYEgIB30qqdNdiMuMhO3m2NfK2VcdwBx5VipK/ubakaji.jpg)
7 WAHUKUMIWA KIFO KWA UBAKAJI AFGHANISTAN
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
3 wahukumiwa kifo kwa ubakaji India
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Watu 4 wahukumiwa kifo Saudi Arabia
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
6 wahukumiwa kifo kwa kuua wato 2 Bangladesh
9 years ago
Habarileo23 Aug
Sita wahukumiwa kifo kwa kumpasua fuvu mwenzao
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imewatia hatiani watu sita na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Oden Msongela (40), Philibert Majaliwa (20), Edwin Simba (30), Sabas Alfred (19),Wenseslaus Kakwale (30) na Maiko Simfukwe (33). Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mwakipombe Sango.
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Watu 12 wahukumiwa kwa mashambulio ya mabomu
9 years ago
StarTV30 Nov
Watu wa nne wahukumiwa miaka 32 jela kwa uvamizi Nzega.
Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya nzega imewahukumu kifungo cha miaka 32 jela watu nane kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu tofali sita na nusu zenye thamani ya zaidi ya hsilingi bilioni 4 katika mgodi wa dhahabu wa resolute
Akitoa hukumu hiyo hakimu mkazi silyvester kainda amesema washitakiwa mawazo saliboko ,edward bunera ,shaaban amuru,john ndaki,pius shija ,aloyce zindoro ,davidi ndaki pamoja na frenk kabuche wamehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada kutiwa...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Saba wahukumiwa wizi ATM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u-_IVDpor1s/XrfLlTesAjI/AAAAAAALpp4/VXwc-Og4jjsoDaYHB0ZgPxOU3XnZeqJpQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200510-WA0003.jpg)
ALIYEKUWA MWEKA HAZINA SIMANJIRO NA MHASIBU WAHUKUMIWA MIAKA SABA JELA
Na Mwandishi wetu
ALIYEKUWA mweka hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Peter Mollel na mhasibu msaidizi Ester Melkior wamehukumiwa kifungo cha miaka saba kwenda jela na kulipa faini ya shilingi milioni 36 kila mmoja kwa makosa ya wizi wakiwa mtumishi wa umma.
Kwa nyakati tofauti kati ya mwaka 2008 na 2010 watu hao walishirikiana kuzidisha orodha ya walipwaji mishahara ya watumishi wa halmashauri hiyo na kuwasilisha benki kisha kujipatia sh34.5 milioni.
Naibu msajili wa...