7 WAHUKUMIWA KIFO KWA UBAKAJI AFGHANISTAN

Mmoja wa watuhumiwa hao waliohukumiwa kifo. Hukumu hiyo wakati ikitolewa. WANAUME saba nchini Afghanistan, leo wamehukumiwa kifo baada ya kubainika kuwa waliwabaka kwa zamu…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
3 wahukumiwa kifo kwa ubakaji India
11 years ago
BBCSwahili07 Sep
Watu saba wahukumiwa kifo kwa ubakaji.
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
6 wahukumiwa kifo kwa kuua wato 2 Bangladesh
10 years ago
Habarileo23 Aug
Sita wahukumiwa kifo kwa kumpasua fuvu mwenzao
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imewatia hatiani watu sita na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Oden Msongela (40), Philibert Majaliwa (20), Edwin Simba (30), Sabas Alfred (19),Wenseslaus Kakwale (30) na Maiko Simfukwe (33). Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mwakipombe Sango.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
529 wahukumiwa kifo Misri
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Wanne wahukumiwa kifo Mwanza
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Waliopora NMB wahukumiwa kifo
NA WILLIUM PAUL, MOSHI
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imewahukumu raia wawili wa Kenya, kunyongwa hadi kufa baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kumuua kwa kukusudia askari Polisi, wakati wa tukio la uporaji la Benki ya NMB, Mwanga.
Wakati Wakenya hao Samwel Saitoti na Michael Kimani, wakipewa adhabu hiyo, Mtanzania Calist Kanje alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kuwa mshiriki mkuu.
Akisoma hukumu hiyo, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kakusulo Sambo, alisema baada ya...
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
683 wahukumiwa kifo Misri
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Wanajeshi wa Nigeria wahukumiwa kifo