Sita wahukumiwa kifo kwa kumpasua fuvu mwenzao
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imewatia hatiani watu sita na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Oden Msongela (40), Philibert Majaliwa (20), Edwin Simba (30), Sabas Alfred (19),Wenseslaus Kakwale (30) na Maiko Simfukwe (33). Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mwakipombe Sango.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mi8MFV45rAjOY-F5oCEccZl-QXerGM7g*Q9fRcMXSnAN5Rk7tKZYEgIB30qqdNdiMuMhO3m2NfK2VcdwBx5VipK/ubakaji.jpg)
7 WAHUKUMIWA KIFO KWA UBAKAJI AFGHANISTAN
Mmoja wa watuhumiwa hao waliohukumiwa kifo. Hukumu hiyo wakati ikitolewa. WANAUME saba nchini Afghanistan, leo wamehukumiwa kifo baada ya kubainika kuwa waliwabaka kwa zamu…
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
3 wahukumiwa kifo kwa ubakaji India
Wanaume watatu wamehukumiwa kifo Mjini Mumbai, India baada ya kupatikana na hatia katika visa tofauti vya ubakaji
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
6 wahukumiwa kifo kwa kuua wato 2 Bangladesh
Wanaume 6 wamehukumiwa kifo kwa kupatikana na hatia ya kuua watoto 2 katika visa vilivyoibua hasira kali nchini Bangladesh
10 years ago
BBCSwahili07 Sep
Watu saba wahukumiwa kifo kwa ubakaji.
Watu saba wamehukumiwa kifo baada ya kuwabaka kwa zamu wanawake wanne nje ya mji mkuu wa Afghanista,kabul mwezi uliopita.
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Wanne wahukumiwa kifo Mwanza
Mahakama kuu ya Tanzania Mwanza imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne wa mauaji ya albino.
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Waliopora NMB wahukumiwa kifo
NA WILLIUM PAUL, MOSHI
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imewahukumu raia wawili wa Kenya, kunyongwa hadi kufa baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kumuua kwa kukusudia askari Polisi, wakati wa tukio la uporaji la Benki ya NMB, Mwanga.
Wakati Wakenya hao Samwel Saitoti na Michael Kimani, wakipewa adhabu hiyo, Mtanzania Calist Kanje alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kuwa mshiriki mkuu.
Akisoma hukumu hiyo, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kakusulo Sambo, alisema baada ya...
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Wanajeshi wa Nigeria wahukumiwa kifo
Mhakama moja ya kijeshi nchini Nigeria imewahukumu kifo askari 54 kwa kukataa kupigana na kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram.
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
683 wahukumiwa kifo Misri
Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahuku kifo watt 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
529 wahukumiwa kifo Misri
Mahakama nchini Misri imewahukumu kifo watu 529 ambao ni wafuasi wa Rais aliyeng'olewa mamlakani Mohammed Morsi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania