Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sita wahukumiwa kifo kwa kumpasua fuvu mwenzao

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imewatia hatiani watu sita na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia. Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Oden Msongela (40), Philibert Majaliwa (20), Edwin Simba (30), Sabas Alfred (19),Wenseslaus Kakwale (30) na Maiko Simfukwe (33). Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Mwakipombe Sango.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

7 WAHUKUMIWA KIFO KWA UBAKAJI AFGHANISTAN

Mmoja wa watuhumiwa hao waliohukumiwa kifo. Hukumu hiyo wakati ikitolewa. WANAUME saba nchini Afghanistan, leo wamehukumiwa kifo baada ya kubainika kuwa waliwabaka kwa zamu…

 

11 years ago

BBCSwahili

3 wahukumiwa kifo kwa ubakaji India

Wanaume watatu wamehukumiwa kifo Mjini Mumbai, India baada ya kupatikana na hatia katika visa tofauti vya ubakaji

 

9 years ago

BBCSwahili

6 wahukumiwa kifo kwa kuua wato 2 Bangladesh

Wanaume 6 wamehukumiwa kifo kwa kupatikana na hatia ya kuua watoto 2 katika visa vilivyoibua hasira kali nchini Bangladesh

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu saba wahukumiwa kifo kwa ubakaji.

Watu saba wamehukumiwa kifo baada ya kuwabaka kwa zamu wanawake wanne nje ya mji mkuu wa Afghanista,kabul mwezi uliopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanne wahukumiwa kifo Mwanza

Mahakama kuu ya Tanzania Mwanza imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne wa mauaji ya albino.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Waliopora NMB wahukumiwa kifo


NA WILLIUM PAUL, MOSHI
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imewahukumu raia wawili wa Kenya, kunyongwa hadi kufa baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kumuua kwa kukusudia askari Polisi, wakati wa tukio la uporaji la Benki ya NMB, Mwanga.
Wakati Wakenya hao Samwel Saitoti na Michael Kimani, wakipewa adhabu hiyo, Mtanzania Calist Kanje alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kuwa mshiriki mkuu.
Akisoma hukumu hiyo, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kakusulo Sambo, alisema baada ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Nigeria wahukumiwa kifo

Mhakama moja ya kijeshi nchini Nigeria imewahukumu kifo askari 54 kwa kukataa kupigana na kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram.

 

11 years ago

BBCSwahili

683 wahukumiwa kifo Misri

Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahuku kifo watt 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie.

 

11 years ago

BBCSwahili

529 wahukumiwa kifo Misri

Mahakama nchini Misri imewahukumu kifo watu 529 ambao ni wafuasi wa Rais aliyeng'olewa mamlakani Mohammed Morsi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani