529 wahukumiwa kifo Misri
Mahakama nchini Misri imewahukumu kifo watu 529 ambao ni wafuasi wa Rais aliyeng'olewa mamlakani Mohammed Morsi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
683 wahukumiwa kifo Misri
Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahuku kifo watt 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie.
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
683 wahukumiwa kifo nchini Misri
Miongoni mwao ni kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
69 wahukumiwa maisha Misri
Mahakama ya Misri imewahukumia kifungo ncha maisha jela, watu 69 baada ya kupatikana na hatia kuchoma kanisa moja nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Vijana 70 wahukumiwa vifungo Misri.
Mahakama moja nchini Misri imewahukumu vifungo gerezani vijana 70, kwa kuhusika kupanga mkutano na kundi lililopigwa marufuku.
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
230 wahukumiwa kifungo cha maisha Misri
Watu 230 wahukumiwa kifungo cha maisha kwa kuhusika katika harakati za kuiondoa Serikali ya Hosni Mubarak madarakani.
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Waliopora NMB wahukumiwa kifo
NA WILLIUM PAUL, MOSHI
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imewahukumu raia wawili wa Kenya, kunyongwa hadi kufa baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kumuua kwa kukusudia askari Polisi, wakati wa tukio la uporaji la Benki ya NMB, Mwanga.
Wakati Wakenya hao Samwel Saitoti na Michael Kimani, wakipewa adhabu hiyo, Mtanzania Calist Kanje alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kuwa mshiriki mkuu.
Akisoma hukumu hiyo, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kakusulo Sambo, alisema baada ya...
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Wanne wahukumiwa kifo Mwanza
Mahakama kuu ya Tanzania Mwanza imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne wa mauaji ya albino.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Wanajeshi wa Nigeria wahukumiwa kifo
Mhakama moja ya kijeshi nchini Nigeria imewahukumu kifo askari 54 kwa kukataa kupigana na kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram.
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Watu 4 wahukumiwa kifo Saudi Arabia
3 kati yao wamepatikana na hatia ya mauaji na 1 kuuza dawa za kulevya. Amnesty International limeshtumu mfumo wa sheria wa Saudia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania