Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana 70 wahukumiwa vifungo Misri.

Mahakama moja nchini Misri imewahukumu vifungo gerezani vijana 70, kwa kuhusika kupanga mkutano na kundi lililopigwa marufuku.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

69 wahukumiwa maisha Misri

Mahakama ya Misri imewahukumia kifungo ncha maisha jela, watu 69 baada ya kupatikana na hatia kuchoma kanisa moja nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

683 wahukumiwa kifo Misri

Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahuku kifo watt 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie.

 

11 years ago

BBCSwahili

529 wahukumiwa kifo Misri

Mahakama nchini Misri imewahukumu kifo watu 529 ambao ni wafuasi wa Rais aliyeng'olewa mamlakani Mohammed Morsi.

 

11 years ago

BBCSwahili

683 wahukumiwa kifo nchini Misri

Miongoni mwao ni kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie

 

10 years ago

BBCSwahili

230 wahukumiwa kifungo cha maisha Misri

Watu 230 wahukumiwa kifungo cha maisha kwa kuhusika katika harakati za kuiondoa Serikali ya Hosni Mubarak madarakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijana waliokamatwa danguroni waachiwa Misri

Mahakama nchini Misri, imewafutia mashitaka wanaume 26 waliokamatwa baada ya msako wa polisi katika jumba au danguro la wanaume na kjushitakiwa kwa kosa la kuchochea watu kutenda uovu.

 

11 years ago

Habarileo

Kuna wahalifu 1,694 wa vifungo vya nje

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya nchini imesema kuna wahalifu 1,694 wa vifungo vya nje, ambao wanaoendelea kutumikia adhabu zao katika taasisi mbalimbali za umma katika mikoa 18 nchini hadi kufikia Juni mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jaji aagiza mahakama kuepuka adhabu za vifungo

Jaji mfawidhi wa mahakama kuu nchini Tanzania, Mwanza, amewataka mahakimu mkoani humo kuepuka kwa kiwango kikubwa kutoa adhabu ya kifungo ikiwa ni sehemu ya kupambana na maambukizi ya Corona

 

11 years ago

Mwananchi

Wahukumiwa jela miaka 90

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu kifungo cha miaka 90 jela washtakiwa Maulid Dotto, maarufu kama Mau Mchina, Nestory Antony maarufu kama Antony China na Bavon Ernest baada ya kupatikana na atia ya kufanya tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha na wizi wa mali ya Sh3.4 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani