Vijana 70 wahukumiwa vifungo Misri.
Mahakama moja nchini Misri imewahukumu vifungo gerezani vijana 70, kwa kuhusika kupanga mkutano na kundi lililopigwa marufuku.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
69 wahukumiwa maisha Misri
Mahakama ya Misri imewahukumia kifungo ncha maisha jela, watu 69 baada ya kupatikana na hatia kuchoma kanisa moja nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
683 wahukumiwa kifo Misri
Jaji wa mahakama nchini Misri, amewahuku kifo watt 683 akiwemo kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
529 wahukumiwa kifo Misri
Mahakama nchini Misri imewahukumu kifo watu 529 ambao ni wafuasi wa Rais aliyeng'olewa mamlakani Mohammed Morsi.
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
683 wahukumiwa kifo nchini Misri
Miongoni mwao ni kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
230 wahukumiwa kifungo cha maisha Misri
Watu 230 wahukumiwa kifungo cha maisha kwa kuhusika katika harakati za kuiondoa Serikali ya Hosni Mubarak madarakani.
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Vijana waliokamatwa danguroni waachiwa Misri
Mahakama nchini Misri, imewafutia mashitaka wanaume 26 waliokamatwa baada ya msako wa polisi katika jumba au danguro la wanaume na kjushitakiwa kwa kosa la kuchochea watu kutenda uovu.
11 years ago
Habarileo07 Jul
Kuna wahalifu 1,694 wa vifungo vya nje
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya nchini imesema kuna wahalifu 1,694 wa vifungo vya nje, ambao wanaoendelea kutumikia adhabu zao katika taasisi mbalimbali za umma katika mikoa 18 nchini hadi kufikia Juni mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Jaji aagiza mahakama kuepuka adhabu za vifungo
Jaji mfawidhi wa mahakama kuu nchini Tanzania, Mwanza, amewataka mahakimu mkoani humo kuepuka kwa kiwango kikubwa kutoa adhabu ya kifungo ikiwa ni sehemu ya kupambana na maambukizi ya Corona
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Wahukumiwa jela miaka 90
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu kifungo cha miaka 90 jela washtakiwa Maulid Dotto, maarufu kama Mau Mchina, Nestory Antony maarufu kama Antony China na Bavon Ernest baada ya kupatikana na atia ya kufanya tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha na wizi wa mali ya Sh3.4 milioni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania