Kuna wahalifu 1,694 wa vifungo vya nje
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya nchini imesema kuna wahalifu 1,694 wa vifungo vya nje, ambao wanaoendelea kutumikia adhabu zao katika taasisi mbalimbali za umma katika mikoa 18 nchini hadi kufikia Juni mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Kuna haja ya kununua chakula kingi kujiandaa na marufuku ya kutotoka nje?
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu manunuzi ya chakula kingi hasa katika uhifadhi wake katika maeneo yenye miundombinu mibaya ya uhifadhi, pia hali ya uchumi.
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Vijana 70 wahukumiwa vifungo Misri.
Mahakama moja nchini Misri imewahukumu vifungo gerezani vijana 70, kwa kuhusika kupanga mkutano na kundi lililopigwa marufuku.
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MUUNGANO WA VISIWA VYA COMORO ATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA MATAIFA
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Jaji aagiza mahakama kuepuka adhabu za vifungo
Jaji mfawidhi wa mahakama kuu nchini Tanzania, Mwanza, amewataka mahakimu mkoani humo kuepuka kwa kiwango kikubwa kutoa adhabu ya kifungo ikiwa ni sehemu ya kupambana na maambukizi ya Corona
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Changamoto ya kuosha mikono wakati kuna uhaba wa maji
Fahamu namna ya kuhifadhi maji kwa matumizi ya baadaye
10 years ago
GPL16 Sep
KAMANDA MPINGA: WANANCHI TUPENI TAARIFA KAMA KUNA VITENDO VYA RUSHWA
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa mara waonapo vitendo vya rushwa. Naibu Kamishna Mpinga ameyasema hayo wakati akihojiwa na Global TV Online hivi karibuni.
5 years ago
BBCSwahili24 May
Virusi vya corona: Je kuna hatari gani ya maambukizi unapoogelea baharini na katika mabwawa?
Kwa kuwa hakuna tafiti za moja kwa moja kuhusu uhai wa virusi hivyo katika maji, shirika la Afya duniani WHO limepata mapendekezo yake kupitia ushahidi mwengine wa tafiti za kisayansi kuhusu virusi vya corona.
9 years ago
VijimamboJAJI MUTUNGI - KUNA UMUHIMU KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA ZANZIBAR KUKUTANA
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, nyumbani kwake Mbweni Zanzibar.
Na: Hassan Hamad, OMKR....
9 years ago
Michuzikuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana - Jaji Mutungi
Na: Hassan Hamad, OMKR.
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, amesema kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana, ili kutatua mzozo wa kisiasa uliojitokeza.
Amesema Zanzibar ni nchi amani, hivyo hakuna haja ya kuruhusu migogoro ya aina hiyo ambayo inaweza kupelekea kuvurugika kwa amani na kuipotezea sifa Zanzibar katika jamii ya Kimataifa.
Jaji Mutungi akiambatana na baadhi ya wajumbe wa ofisi hiyo ya msajili pamoja na msajili wa vyama kwa upande wa...
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, amesema kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana, ili kutatua mzozo wa kisiasa uliojitokeza.
Amesema Zanzibar ni nchi amani, hivyo hakuna haja ya kuruhusu migogoro ya aina hiyo ambayo inaweza kupelekea kuvurugika kwa amani na kuipotezea sifa Zanzibar katika jamii ya Kimataifa.
Jaji Mutungi akiambatana na baadhi ya wajumbe wa ofisi hiyo ya msajili pamoja na msajili wa vyama kwa upande wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania