Coronavirus: Jaji aagiza mahakama kuepuka adhabu za vifungo
Jaji mfawidhi wa mahakama kuu nchini Tanzania, Mwanza, amewataka mahakimu mkoani humo kuepuka kwa kiwango kikubwa kutoa adhabu ya kifungo ikiwa ni sehemu ya kupambana na maambukizi ya Corona
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi20 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s72-c/j18%2B%25281%2529.jpg)
JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s640/j18%2B%25281%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z6MUhkFCe2M/XnjLJl1lrmI/AAAAAAALk1o/z_ADjs4LoB0QAmXpBpjgkauLrsKbXmR2QCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-03-23-17h15m58s086.png)
DC Njombe aagiza sehemu za starehe kufungwa saa nne usiku kuepuka Corona
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza watoa huduma za baa na wamiliki wa maeneo ya starehe kufunga huduma hizo kwa kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19) ili kuepusha maambukizi na kuenea kwa virusi hivyo.
Ruth Msafiri ametoa agizo hilo mapema siku ya leo wakati akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo vya habari vya ndani ya wilaya hiyo (radio za jamii) kwa lengo la kutoa tahadhari,kutoa elimu na hatua ilipofikia wilaya hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIm9DK4T7mlAYSMXrZGOSpI4KcG-ZHxcNDKrzBCbQL3tPW*f9eAsb0G3rdPHezGeYFKaKnGJ7bdsLEV2FMtEYt1U/SUAREZ.jpg?width=650)
MAHAKAMA YAMPUNGUZIA ADHABU SUAREZ
9 years ago
Habarileo03 Oct
Jaji ashangaa akina Mramba kupewa adhabu ndogo
JAJI Projest Rugazia wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ameelezea kushangazwa na sheria za Tanzania, kwa kutoa adhabu ndogo kwa mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona, ikilinganishwa na kiasi cha fedha walichosababisha hasara.
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Mahakama Kuu yatengua adhabu ya kufungiwa gazeti la Mwanahalisi
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-K8WbqiA3-Kk/VenWjMjUjGI/AAAAAAABUyo/wE8SpsayEQ8/s72-c/kubenea.jpg)
MAHAKAMA KUU YAFUTA ADHABU YA KUFUNGIWA GAZETI LA MWANAHALISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-K8WbqiA3-Kk/VenWjMjUjGI/AAAAAAABUyo/wE8SpsayEQ8/s640/kubenea.jpg)
Na Florence Majani
Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania leo imetoa hukumu yake na kulipa ushindi gazeti la Mwanahalisi baada ya mahakama hiyo kujiridhisha kuwa Waziri wa Habari na Utamaduni, Dk Fenella Mukangara hakufuata taratibu la kukifungia chombo hicho cha habari.Gazeti la Mwanahalisi lilifungiwa Julai 30, 2012 kwa amri ya Dk Mukangara...
10 years ago
Michuzi09 Apr
MAHAKAMA YAMPA ADHABU YA KUFUA MASHUKA YA HOSPITAL DIWANI WA CHADEMA
MAHAKAMA ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma imempa adhabu ya kufua mashuka ya wagonjwa katika hospital ya Wilaya ya Kakonko na kuzibua mitaro ya barabarani Diwani wa kata ya Kasanda kupitia tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yeye na wenzake wanne kwa muda wa siku kumi na nne baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu.
Mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya Wilaya ya Kibondo Erick Marley,mwendesha mashitaka wa polisi Peter Makala...
10 years ago
Habarileo11 Apr
Jaji Mkuu aagiza umakini nyaraka za ardhi
MAHAKIMU kisiwani Pemba wametakiwa kuwa makini katika utekelezaji wa majukumu yao ikiwemo kuangalia kwa makini nyaraka za ardhi ambapo baadhi ya watu wanaonesha hati za umiliki wa mashamba ambazo zilifutwa mara baada ya Mapinduzi ya mwaka 1964.