Mahakama Kuu yatengua adhabu ya kufungiwa gazeti la Mwanahalisi
Mahakama Kuu ya Tanzania leo imetoa hukumu yake na kulipa ushindi gazeti la Mwanahalisi baada ya mahakama hiyo kujiridhisha kuwa Waziri wa Habari na Utamaduni, Dk Fenella Mukangara hakufuata taratibu la kukifungia chombo hicho cha habari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-K8WbqiA3-Kk/VenWjMjUjGI/AAAAAAABUyo/wE8SpsayEQ8/s72-c/kubenea.jpg)
MAHAKAMA KUU YAFUTA ADHABU YA KUFUNGIWA GAZETI LA MWANAHALISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-K8WbqiA3-Kk/VenWjMjUjGI/AAAAAAABUyo/wE8SpsayEQ8/s640/kubenea.jpg)
Na Florence Majani
Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania leo imetoa hukumu yake na kulipa ushindi gazeti la Mwanahalisi baada ya mahakama hiyo kujiridhisha kuwa Waziri wa Habari na Utamaduni, Dk Fenella Mukangara hakufuata taratibu la kukifungia chombo hicho cha habari.Gazeti la Mwanahalisi lilifungiwa Julai 30, 2012 kwa amri ya Dk Mukangara...
10 years ago
Uhuru Newspaper29 Jan
Hatuna mpango wa kulifungulia gazeti la Mwanahalisi-Nkamia
SERIKALI imesema haina mpango wa kulifungulia gazeti za Mwanahalisi, ambalo ililifungia kwa muda usiojulikana kutokana na ukiukwaji wa taaluma ya uandishi wa habari.
Aidha, imesema haina mpango wa kupunguza kodi ya uzalishaji wa magazeti kutokana na gharama ndogo ya kodi inayotoza kwenye magazeti hayo.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni mjini hapa jana na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia, wakati akijibu swali la nyongeza la Joseph Mbilinyi, (Mbeya Mjini-Chadema),...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Mahakama yatengua makubaliano ya Shoprite, Nakumat
Mahakama Kuu, Kitengo cha Kazi, imezuia mtandao wa maduka ya Shoprite usiuze, usihamishe wala kukabidhi maduka yake kwa Kampuni ya Nakumat hadi mgogoro wake na wafanyakazi utakapomalizika.
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Adhabu kwa waongo ni kufungiwa vikao vitatu
>Wajumbe wa Bunge la Katiba wameelezwa kuwa yeyote atakayesema uongo wakati wa kujadili kwa lengo la kuboresha Rasimu ya Pili ya Katiba, ataadhibiwa kwa kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitatu.
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Ubalozi wa Marekani waeleza kusikitishwa kwa kukamatwa kwa wapinzani na kufungiwa gazeti Tanzania
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa tamko la kusikitishwa na walichokiita hatua za serikali ya Tanzania kuminya demokrasia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIm9DK4T7mlAYSMXrZGOSpI4KcG-ZHxcNDKrzBCbQL3tPW*f9eAsb0G3rdPHezGeYFKaKnGJ7bdsLEV2FMtEYt1U/SUAREZ.jpg?width=650)
MAHAKAMA YAMPUNGUZIA ADHABU SUAREZ
Mchezaji wa Barcelona, Luis Suarez. Mahakama ya Soka ya Kimataifa CAS, imekubali kupunguza adhabu ya kumfungia miezi minne Luis Suarez wa Barcelona baada ya kumuuma Giorgio Chiellini wa Italia wakati wa Kombe la Dunia. CAS imetoa nafuu kwa Suarez na sasa Barcelona rasmi itamtambulisha Jumatatu na atapewa ruksa ya kufanya mazoezi na wenzake.
Mambo ambayo yamepunguzwa na yale yanayobaki kuwa adhabu ni kama yafuatayo. Suarez...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c4nqYXJtDZ4/XrEmGjmkc2I/AAAAAAALpMM/y0uZDoFJLNQkVJOAVHGLxytb8lLpPvqLACLcBGAsYHQ/s72-c/Mahakama-Kuu-2-MUDA-HUU.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA DARESALAAM YATOA HUKUMU KWA MAHAKAMA MTANDAO
Na Innocent Kansha- Mahakama Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam jana ilitoa hukumu tatu kwa njia ya Mahakama Mtandao maarufu kama “Video Conference” kwa kushirikiana na Magereza ya Keko na Segerea Jijini Dar es salaam, huku ikiahirisha mashauri mawili. Mashauri matano ya mauaji yalisikilizwa mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam, Mhe. Lameck Mlacha kwa kutumika njia hiyo. Kati ya mashauri hayo matatu yalisikilizwa na kutolewa hukumu, kwa...
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Jaji aagiza mahakama kuepuka adhabu za vifungo
Jaji mfawidhi wa mahakama kuu nchini Tanzania, Mwanza, amewataka mahakimu mkoani humo kuepuka kwa kiwango kikubwa kutoa adhabu ya kifungo ikiwa ni sehemu ya kupambana na maambukizi ya Corona
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s72-c/j18%2B%25281%2529.jpg)
JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNPZS60ZMWQ/VcJ3rdKOB2I/AAAAAAAHubQ/ANEbD-UyiTo/s640/j18%2B%25281%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania