Hatuna mpango wa kulifungulia gazeti la Mwanahalisi-Nkamia
SERIKALI imesema haina mpango wa kulifungulia gazeti za Mwanahalisi, ambalo ililifungia kwa muda usiojulikana kutokana na ukiukwaji wa taaluma ya uandishi wa habari.
Aidha, imesema haina mpango wa kupunguza kodi ya uzalishaji wa magazeti kutokana na gharama ndogo ya kodi inayotoza kwenye magazeti hayo.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni mjini hapa jana na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia, wakati akijibu swali la nyongeza la Joseph Mbilinyi, (Mbeya Mjini-Chadema),...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-K8WbqiA3-Kk/VenWjMjUjGI/AAAAAAABUyo/wE8SpsayEQ8/s72-c/kubenea.jpg)
MAHAKAMA KUU YAFUTA ADHABU YA KUFUNGIWA GAZETI LA MWANAHALISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-K8WbqiA3-Kk/VenWjMjUjGI/AAAAAAABUyo/wE8SpsayEQ8/s640/kubenea.jpg)
Na Florence Majani
Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania leo imetoa hukumu yake na kulipa ushindi gazeti la Mwanahalisi baada ya mahakama hiyo kujiridhisha kuwa Waziri wa Habari na Utamaduni, Dk Fenella Mukangara hakufuata taratibu la kukifungia chombo hicho cha habari.Gazeti la Mwanahalisi lilifungiwa Julai 30, 2012 kwa amri ya Dk Mukangara...
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Mahakama Kuu yatengua adhabu ya kufungiwa gazeti la Mwanahalisi
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-kCfwItAexIo/VatiyqgZRkI/AAAAAAAA36c/menfWDSjxTM/s72-c/mkotya%2B1.jpg)
HARIRI WA GAZETI LA MTANZANIA,KHAMIS MKOTYA ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE KUPAMBANA NA NKAMIA JIMBO LA CHEMBA,DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-kCfwItAexIo/VatiyqgZRkI/AAAAAAAA36c/menfWDSjxTM/s640/mkotya%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EOOZgmycYOI/Vatiye14DXI/AAAAAAAA36g/2739rTF8Xww/s640/mkotya%2B2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Sikinde: Hatuna mpango wa kwenda mahakamani
UONGOZI wa Bendi ya Mlimani Park ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’, umesema hauna mpango wa kwenda mahakamani kumshitaki wakala aliyewachukua baadhi ya wanamuziki wao na kwenda kufanya nao ziara nchini Ujerumani...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-kCfwItAexIo/VatiyqgZRkI/AAAAAAAA36c/menfWDSjxTM/s640/mkotya%2B1.jpg)
MHARIRI WA GAZETI LA MTANZANIA, KHAMIS MKOTYA ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE KUPAMBANA NA NKAMIA JIMBO LA CHEMBA, DODOMA
10 years ago
MichuziNYALANDU: HATUNA MPANGO WA KUWAONDOA WAMASAI LOLIONDO
Novemba mwaka huu, gazeti The Guardian la nchini Uingereza, liliandika habari kuwa serikali ina mpango wa kuwafukuza Wamasai wanaoishi eneo hilo.
Gazeti hilo lilidai kuwa, lengo ni kuwapatia eneo lenye kilometa za mraba 1,500, kampuni ya OBC ya Falme za Kiarabu.
Akizungumza na wananchi wa...
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Nyalandu: Hatuna mpango kufukuza Wamasai Loliondo
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema habari zinazodai serikali inataka kuwaondoa wakazi wa zaidi ya 40,000 eneo la Loliondo mkoani Arusha ni za uongo na uchokozi. Novemba mwaka...
9 years ago
TheCitizen05 Sep
High Court lifts ban on ‘MwanaHalisi’
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-koxs0qT58ms/VYxcQnhn9WI/AAAAAAABQnc/hHjGfgBhDv8/s72-c/Mwana%2BHalisi%2BOnline%252C%2BEdson%2BKamukara.jpg)
MHARIRI WA MWANAHALISI ONLINE AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-koxs0qT58ms/VYxcQnhn9WI/AAAAAAABQnc/hHjGfgBhDv8/s640/Mwana%2BHalisi%2BOnline%252C%2BEdson%2BKamukara.jpg)