Adhabu kwa waongo ni kufungiwa vikao vitatu
>Wajumbe wa Bunge la Katiba wameelezwa kuwa yeyote atakayesema uongo wakati wa kujadili kwa lengo la kuboresha Rasimu ya Pili ya Katiba, ataadhibiwa kwa kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitatu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
MAHAKAMA KUU YAFUTA ADHABU YA KUFUNGIWA GAZETI LA MWANAHALISI

Na Florence Majani
Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania leo imetoa hukumu yake na kulipa ushindi gazeti la Mwanahalisi baada ya mahakama hiyo kujiridhisha kuwa Waziri wa Habari na Utamaduni, Dk Fenella Mukangara hakufuata taratibu la kukifungia chombo hicho cha habari.Gazeti la Mwanahalisi lilifungiwa Julai 30, 2012 kwa amri ya Dk Mukangara...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Mahakama Kuu yatengua adhabu ya kufungiwa gazeti la Mwanahalisi
10 years ago
Vijimambo
WABUNGE 5 WAMEPEWA ADHABU YA KUTOKUHUDHURIA VIKAO VYA MKUTANO WA 20 WA BUNGE.

9 years ago
Michuzi
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Ubalozi wa Marekani waeleza kusikitishwa kwa kukamatwa kwa wapinzani na kufungiwa gazeti Tanzania
10 years ago
GPLVYUMBA VITATU VYATEKETEA KWA MOTO DAR
9 years ago
StarTV30 Dec
Serikali kuongeza adhabu kwa wanaovunja sheria kwa kuzidisha mizigo
Serikali inatarajia kuongeza adhabu ya makosa ya uzidishaji mizigo inayosafirishwa kwenye magari kwa njia barabara kuwa kubwa kuliko thamani ya mizigo inayosafirishwa ili kukomesha vitendo vya ukiukaji wa sheria za usafirishaji ambao unasababisha uharibifu wa barabara nchini.
Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano amesema kabla ya kufanya maamuzi hayo, watakaa na wadau wa barabara kuwashirikisha uamuzi huo ili kuzifanya barababra nchini kuwa salama.
Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi...
5 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo02 Jan
Kauli Ya Hashim Lundenga Kuhusu Kufungiwa Kwa Miss Tanzania.

Lundenga alisema “uamuzi wa BASATA ni utekelezaji wa dhamira ya wachache walioamua kuhakikisha Miss Tanzania inapotea kwenye ramani ya burudani...