Kauli Ya Hashim Lundenga Kuhusu Kufungiwa Kwa Miss Tanzania.
Siku kadhaa baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kuifungia Kampuni ya Lino International kuendesha mashindano ya Miss Tanzania kwa miaka miwili, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Hashim Lundenga amesema ” hatua hiyo imefikiwa kutokana na shinikizo kutoka kwa baadhi ya watu wenye dhamira ya kuitoa kwenye mstari wa mafanikio sanaa ya urembo nchini ” .
Lundenga alisema “uamuzi wa BASATA ni utekelezaji wa dhamira ya wachache walioamua kuhakikisha Miss Tanzania inapotea kwenye ramani ya burudani...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-AawnjXqE3xhq4KdsL2migBpieWGzxulzwYsqmpRBOlWl8wWcHsRkCLDR**on-BWZTDkeqtRcKl6MWibMA-mkoK/MMGM0172.jpg?width=650)
HASHIM LUNDENGA, NINGENG’ATUKA MISS TANZANIA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFOSi114PwQ/VEY7FaV6YGI/AAAAAAABETI/1BF6RujdUQc/s72-c/IMG_6936.jpg)
HASHIM LUNDENGA AKANUSHA HABARI ZA SITTI MTEMVU aka MISS TANZANIA KUJIVUA TAJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFOSi114PwQ/VEY7FaV6YGI/AAAAAAABETI/1BF6RujdUQc/s640/IMG_6936.jpg)
Uvumi wa Sitti kuvua taji hilo umetokana na taarifa zilizotolewa kupitia akaunti ya Facebook mrembo huyo anayelalamikiwa kughushi vyeti vya kuzaliwa, akisema kutokana na vidole vya lawama anavyooshewa kiasi cha kuosa amani,...
10 years ago
Michuzi08 Oct
10 years ago
CloudsFM21 Oct
LUNDENGA ATOA TAMKO KUHUSU UMRI SAHIHI WA MISS TANZANIA
Waandaji wa shindano la Miss Tanzania 2014 Lino International ambao wakishirikiana na Redds wamekutana leo jijini Dar es salaam na waandishi wa habari ili kuzungumza nao kuhusu skendo ya umri halisi wa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.
Mkurugenzi wa Lino International Agency Hashim lundenga amesema tuhuma za kuwa miss Tanzania anamtoto sio kweli na kwamba hairuhusiwi kwa mshindani wa Miss Tanzania kuwa na Mtoto. Pia Hashim ameonyesha vyeti halisi vya kuzaliwa vya Sitti abavyo vimeonyesha...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s72-c/MMGM0139.jpg)
LUNDENGA AMTETEA MISS TANZANIA 2014 KUHUSU SAKATA LA UMRI WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTTPmBjhzRc/VEYtpsjP5rI/AAAAAAAGsKY/d-1LdF6Ptwg/s640/MMGM0139.jpg)
"Katika mashindano ya yetu,Washiriki wote hujaza fomu maalum...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q25Z4Naksm7wtM7*hyDUA8PDc3hnDe2uCarYZTmQAn3UOC6s186r02Yc7lK3sKQfB78zA*L6a8LMXZPTZ9ALWCW/lundenga.jpg?width=650)
ANKO LUNDENGA: HAKUNA MISS TANZANIA ANAYESHINDA KWA KUTOA RUSHWA YA NGONO
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Lundenga na Miss Tanzania wajikoroga
9 years ago
Raia Tanzania28 Aug
Lundenga aitema Miss Tanzania
BAADA ya kutoka kifungoni , Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashimu Lundenga ameachia ngazi kwenye Kamati ya Miss Tanzania na kuundwa kamati mpya inayoongozwa na Juma Pinto.
Awali Lundenga alikuwa mwenyekiti wa Kamati hiyo.
Mwishoni mwa mwaka jana shindano hilo lilifungiwa na serikali kupitia Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), baada ya waandaaji kudaiwa kukiuka taratibu na kanuni za mashindano hayo, baada ya mrembo aliyekuwa akishikilia taji hilo, Sitti Mtevu...
10 years ago
Habarileo07 Oct