TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUANZA KWA VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1ZAu-WfB19s/XmJXb_qn8JI/AAAAAAALhiM/0Wz3TjlspnUw51FuzGpz6k8V_vQIr7EsACLcBGAsYHQ/s72-c/PRESS%2BRELASE%2BKAMATI.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QI37sdZWn1I/VK6fy7eNRXI/AAAAAAAG8EI/rCxtoXB3YJg/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE KUANZA TAREHE 13 — 23 JANUARI 2015
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QI37sdZWn1I/VK6fy7eNRXI/AAAAAAAG8EI/rCxtoXB3YJg/s1600/New%2BPicture.png)
BUNGE LA TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA KUPITIA VYOMBO HABARI KUHUSU VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE KUANZA TAREHE 13 – 23 JANUARI 2015
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anawatangazia Waheshimiwa Wabunge wote, wadau na umma kwa ujumla kuwa Kamati za Kudumu za Bunge zitaanza vikao vyake tarehe 13 hadi 23 Januari 2015. Vikao hivyo vitakavyoutangulia mkutano wa Kumi na Nane wa Bunge la Kumi vitajadili na kuchambua pamoja na mambo mengine Miswada mbalimbali ya...
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Taarifa kwa umma kupitia vyombo habari kuhusu vikao vya kamati za Bunge kuanza tarehe 13 — 23 Januari 2015
Mwito kwa kamati 2015.docx by moblog
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Vikao vya kamati za kudumu za Bunge kuanza kesho jijini Dar es Salaam
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Thomasi Kashililah.
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Thomasi Kashililah anawatangazia Waheshimiwa Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri kuwa Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge vitaanza Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Oktoba 2014. Kwa tangazo hili waheshimiwa Wabunge wote mnaombwa kuwasili Dar es Salaam siku ya Jumapili tarehe 19 Oktoba 2014.
Kamati za Bunge katika vikao hivi vitakavyodumu hadi tarehe 2 Novemba 2014...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wQajb8Js9TU/VEMO7YGtFPI/AAAAAAAGrzw/kE-33XOEqHM/s72-c/images.jpg)
Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge kuanza Jijini Dar es Salaam Jumatatu
![](http://3.bp.blogspot.com/-wQajb8Js9TU/VEMO7YGtFPI/AAAAAAAGrzw/kE-33XOEqHM/s1600/images.jpg)
Kwa tangazo hili waheshimiwa Wabunge wote mnaombwa kuwasili Dar es Salaam siku ya Jumapili tarehe 19 Oktoba 2014.
Kamati za Bunge katika vikao hivi vitakavyodumu hadi tarehe 2 Novemba 2014 zitapokea na kujadili pamoja na mambo mengine Muswada wa Marekebisho ya Sheria...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lu7fZBLnWM0/VdzP08A2dNI/AAAAAAAHz_0/jiVDwEF4Sd4/s72-c/tume1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LL8qL5yYJIk/VQLGmmOTmmI/AAAAAAAHKD4/VCo7lRDUeco/s72-c/download%2B(3).jpg)
TAARIFA KUHUSU KUANZA KWA MKUTANO WA 19 WA BUNGE JUMANNE IJAYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-LL8qL5yYJIk/VQLGmmOTmmI/AAAAAAAHKD4/VCo7lRDUeco/s1600/download%2B(3).jpg)
1.0 MISWADA YA SHERIA:1.1 MISWADA YA SHERIA YA SERIKALI:a) Kusomwa kwa mara ya Kwanza na hatua zake zote: Katika Mkutano huo, Kwa mujibu wa Kanuni ya 93(3) ya Kanuni za Bunge Toleo la Aprili 2013 Jumla ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BIYYbwD8fT8/VhiUV65ruVI/AAAAAAAApvA/0FnoBGrSqrQ/s72-c/1.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Oct
Kamati za Bunge kuanza vikao leo
VIKAO vya Bunge vya Kamati za Kudumu vinatarajiwa kuanza jijini Dar es Salaam leo ambapo masuala mbalimbali yatajadiliwa na kamati hizo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Bunge hilo, Thomas Kashililah, wabunge wote wa Bunge hilo wameagizwa kuhudhuria vikao hivyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eUg2BkSpw5U/XtpUuTj3wZI/AAAAAAALsvM/y6AP2oEZGqE9H0Pd6Lc4iAXxICd_Asm_gCLcBGAsYHQ/s72-c/KM-KUSAYA-1-768x588.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUFUNGULIWA VYUO VYA MAFUNZO YA KILIMO (MATIs)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eUg2BkSpw5U/XtpUuTj3wZI/AAAAAAALsvM/y6AP2oEZGqE9H0Pd6Lc4iAXxICd_Asm_gCLcBGAsYHQ/s640/KM-KUSAYA-1-768x588.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndugu Gerald M. Kusaya anawatangazia wanachuo na wakufunzi kuwa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo (MATI) vimefunguliwa rasmi tarehe 01 Juni, 2020 kufuatia agizo la Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli alilotoa tarehe 21 Mei, 2020.
Wanafunzi wote wa Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo nchini wanatakiwa kuendelea kuripoti vyuoni kwa ajili ya kuendelea na masomo yao. Wizara inawataka wanafunzi wote kuhakikisha wanakuwepo vyuoni ifikiapo tarehe 08 Juni, 2020 na itakapofika tarehe 10...