Jaji Mkuu aagiza umakini nyaraka za ardhi
MAHAKIMU kisiwani Pemba wametakiwa kuwa makini katika utekelezaji wa majukumu yao ikiwemo kuangalia kwa makini nyaraka za ardhi ambapo baadhi ya watu wanaonesha hati za umiliki wa mashamba ambazo zilifutwa mara baada ya Mapinduzi ya mwaka 1964.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rjlUBBHjG1A/XlAFDiUBGiI/AAAAAAALewk/zbHIv2hLF24IyaRtMhcwOBqEcK2ynrpugCLcBGAsYHQ/s72-c/nida%252Bpic.jpg)
WAZIRI MKUU AAGIZA UMAKINI UFANYIKE UTOAJI VITAMBULISHO VYA TAIFA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rjlUBBHjG1A/XlAFDiUBGiI/AAAAAAALewk/zbHIv2hLF24IyaRtMhcwOBqEcK2ynrpugCLcBGAsYHQ/s400/nida%252Bpic.jpg)
WAZIRI Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema ameagiza umakini ufanyike katika utoaji wa vitambulisho vya Taifa hususani katika Mikoa iliyopo mipakani ili kuimarisha usalama wa nchi.
Majaliwa ameyasema hayo leo wakati akiongea na wajumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu chama cha mapinduzi(CCM)ya Mkoa wa Kigoma akiwa kwenye sikubya kwanza ya ziara yake amesema kumekuwepo na malalamiko ya wananchi wanaofuatilia vitambulisho vya Taifa wanadaiwa siyo raia wa Tanzania...
11 years ago
Habarileo10 Mar
RC amlalamikia Jaji Mkuu ucheleweshaji kesi za ardhi
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amemweleza Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, kuhusu ugumu wa utekelezaji wa baadhi ya uamuzi, unaotolewa na Mahakama katika utatuzi wa migogoro ya ardhi baina ya makundi mbalimbali mkoani humo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k8d0cBTSNs4/Xrv8u0YZNrI/AAAAAAALqF8/G7T6TcRSjFUWvZUe11VXgYjJGtqXH18sACLcBGAsYHQ/s72-c/JAJI.png)
JAJI MKUU- AWATAKA MAHAKIMU KUWA TAYARI KUSIKILIZA MASHAURI YA ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-k8d0cBTSNs4/Xrv8u0YZNrI/AAAAAAALqF8/G7T6TcRSjFUWvZUe11VXgYjJGtqXH18sACLcBGAsYHQ/s400/JAJI.png)
Akizungumza leo mara baada ya kumuapisha Hakimu Mkazi, Mhe. Olivia Towilo ofisini kwake, iliyopo Mahakama ya Rufani Tanzania, Jijini Dar es Salaam. Jaji Mkuu alisema Mahakama imekuwa ikifanya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-B3jQjxJ41o8/Vksqq9XPEuI/AAAAAAAIGbU/weFAWE6qbMM/s72-c/3.jpg)
Jaji mkuu wa Tanzania akutana na watendaji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
![](http://2.bp.blogspot.com/-B3jQjxJ41o8/Vksqq9XPEuI/AAAAAAAIGbU/weFAWE6qbMM/s640/3.jpg)
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Majaliwa aagiza migogoro ya ardhi ikome
10 years ago
Habarileo23 Jun
Lukuvi aagiza upimaji ardhi kote nchini
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameziagiza halmashauri nchini kuharakisha upimaji wa ardhi na mashamba katika maeneo ya wananchi ambao ndio wamiliki wa asili wa maeneo hayo ili kuondoa migogoro ya ardhi inayosababisha wananchi kuichukia Serikali yao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e0d8fddpW1Y/Xq1RDZcZbYI/AAAAAAALo1Q/RXet2-3e9YYExqZbVWuaf2_P6BeA0N7FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-02%2Bat%2B13.52.15.jpeg)
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Jaji aagiza mahakama kuepuka adhabu za vifungo
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Lukuvi aagiza halmashauri kutenga ardhi kwa NHC