Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Mkuu aagiza umakini nyaraka za ardhi

MAHAKIMU kisiwani Pemba wametakiwa kuwa makini katika utekelezaji wa majukumu yao ikiwemo kuangalia kwa makini nyaraka za ardhi ambapo baadhi ya watu wanaonesha hati za umiliki wa mashamba ambazo zilifutwa mara baada ya Mapinduzi ya mwaka 1964.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AAGIZA UMAKINI UFANYIKE UTOAJI VITAMBULISHO VYA TAIFA.

Na Editha Karlo,Kigoma.
WAZIRI Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema ameagiza umakini ufanyike katika utoaji wa vitambulisho vya Taifa hususani katika Mikoa iliyopo mipakani ili kuimarisha usalama wa nchi.

Majaliwa ameyasema hayo leo wakati akiongea na wajumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu chama cha mapinduzi(CCM)ya Mkoa wa Kigoma akiwa kwenye sikubya kwanza ya ziara yake amesema kumekuwepo na malalamiko ya wananchi wanaofuatilia vitambulisho vya Taifa wanadaiwa siyo raia wa Tanzania...

 

11 years ago

Habarileo

RC amlalamikia Jaji Mkuu ucheleweshaji kesi za ardhi

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amemweleza Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, kuhusu ugumu wa utekelezaji wa baadhi ya uamuzi, unaotolewa na Mahakama katika utatuzi wa migogoro ya ardhi baina ya makundi mbalimbali mkoani humo.

 

5 years ago

Michuzi

JAJI MKUU- AWATAKA MAHAKIMU KUWA TAYARI KUSIKILIZA MASHAURI YA ARDHI

Na Magreth Kinabo- MahakamaJAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma amewataka Mahakimu kuwa   na utayari wa kuanza kusikiliza mashauri yanayohusu ardhi ili kutatua changamoto na malalamiko yaliyojitokeza kwenye eneo hilo kupitia Mabaraza ya Ardhi hali iliyosababisha suala hilo kwenda Serikalini.
Akizungumza leo mara baada ya   kumuapisha Hakimu Mkazi, Mhe. Olivia Towilo ofisini kwake, iliyopo Mahakama ya Rufani Tanzania, Jijini Dar es Salaam. Jaji Mkuu alisema Mahakama imekuwa ikifanya...

 

9 years ago

Michuzi

Jaji mkuu wa Tanzania akutana na watendaji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

 Jaji mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman (wa tatu kutoka kulia) katika picha ya pamoja na watendaji kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi walipomtembelea ofisini kwake hivi karibuni, Kulia kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Alphayo Kidata akifuatiwa na Subira Sinda Msajili wa Hati. Nyuma ya Katibu Mkuu ni David Mushendwa Kamishna wa ardhi Msaidizi Sheria, Blasia Kibano (Wa kwanza kulia) aliyekuwa Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Sheria pamoja na Juma Lughela.

 

9 years ago

Mwananchi

Majaliwa aagiza migogoro ya ardhi ikome

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa wanaongeza udhibiti na usimamizi wa migogoro ya ardhi kwenye maeneo yao husika.

 

10 years ago

Habarileo

Lukuvi aagiza upimaji ardhi kote nchini

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameziagiza halmashauri nchini kuharakisha upimaji wa ardhi na mashamba katika maeneo ya wananchi ambao ndio wamiliki wa asili wa maeneo hayo ili kuondoa migogoro ya ardhi inayosababisha wananchi kuichukia Serikali yao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jaji aagiza mahakama kuepuka adhabu za vifungo

Jaji mfawidhi wa mahakama kuu nchini Tanzania, Mwanza, amewataka mahakimu mkoani humo kuepuka kwa kiwango kikubwa kutoa adhabu ya kifungo ikiwa ni sehemu ya kupambana na maambukizi ya Corona

 

10 years ago

Mwananchi

Lukuvi aagiza halmashauri kutenga ardhi kwa NHC

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, William Lukuvi ameziagiza halmashauri zote za wilaya kutenga ardhi kwa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ili lijenge nyumba za bei nafuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani