WAZIRI MKUU AAGIZA UMAKINI UFANYIKE UTOAJI VITAMBULISHO VYA TAIFA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rjlUBBHjG1A/XlAFDiUBGiI/AAAAAAALewk/zbHIv2hLF24IyaRtMhcwOBqEcK2ynrpugCLcBGAsYHQ/s72-c/nida%252Bpic.jpg)
Na Editha Karlo,Kigoma.
WAZIRI Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema ameagiza umakini ufanyike katika utoaji wa vitambulisho vya Taifa hususani katika Mikoa iliyopo mipakani ili kuimarisha usalama wa nchi.
Majaliwa ameyasema hayo leo wakati akiongea na wajumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu chama cha mapinduzi(CCM)ya Mkoa wa Kigoma akiwa kwenye sikubya kwanza ya ziara yake amesema kumekuwepo na malalamiko ya wananchi wanaofuatilia vitambulisho vya Taifa wanadaiwa siyo raia wa Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Aug
Utoaji vitambulisho vya Taifa wakamilika Dar, Zanzibar
KAZI ya kuandikisha na kutoa vitambulisho vya Taifa, imekamilika Zanzibar na mkoa wa Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp23cAX0CpLXyH-opN9-ftBVb4mPBIdD7cV8bFFrELkFLVRfcsw7zUDj63ghrYe7lE4nIA*9nHkNe0c*N8qsbU425/IMG20140807WA0000.jpg)
UTOAJI WA VITAMBULISHO VYA TAIFA TEMEKE JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bcDBzAwLtz4/U8fodb2IkvI/AAAAAAAF3Fg/dGKIFifaX5A/s72-c/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana azindua rasmi utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi Wilaya ya Kinondoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-bcDBzAwLtz4/U8fodb2IkvI/AAAAAAAF3Fg/dGKIFifaX5A/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XBuQl9DVg6E/U8foeFB_gCI/AAAAAAAF3Fk/Js-pE7P8knQ/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
Habarileo11 Apr
Jaji Mkuu aagiza umakini nyaraka za ardhi
MAHAKIMU kisiwani Pemba wametakiwa kuwa makini katika utekelezaji wa majukumu yao ikiwemo kuangalia kwa makini nyaraka za ardhi ambapo baadhi ya watu wanaonesha hati za umiliki wa mashamba ambazo zilifutwa mara baada ya Mapinduzi ya mwaka 1964.
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA VITAMBULISHO VYA TAIFA BARANI AFRIKA.
10 years ago
Mwananchi13 May
Vitambulisho vya Taifa vyalalamikiwa
10 years ago
Habarileo03 Jun
Milioni 6 waandikishwa vitambulisho vya Taifa
WATU zaidi ya milioni 6.1 wameshaandikishwa kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho vya Taifa na kati yao milioni 2.5 wameshapatiwa vitambulisho tangu zoezi hilo lizinduliwe mwezi Februari 2013.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPjMlrraIsoe4TThDbOG6qurh5qc4AtHMTm8AOn3br7mJ--1PIGDcUjNaBa2f3C8beYNFUGHsniUjv38OllwGmOs/IDNIGERIA.jpg)
NIGERIA YAZINDUA VITAMBULISHO VYA TAIFA
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Mchakato wa Vitambulisho vya Taifa uboreshwe