Vitambulisho vya Taifa vyalalamikiwa
>Kazi ya uchukuaji alama za vidole na picha kwa ajili ya vitambulisho vya Taifa, imeanza mjini Tanga na dosari kadhaa zimeripotiwa, ikiwamo wananchi kusota muda mrefu kwenye vituo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPjMlrraIsoe4TThDbOG6qurh5qc4AtHMTm8AOn3br7mJ--1PIGDcUjNaBa2f3C8beYNFUGHsniUjv38OllwGmOs/IDNIGERIA.jpg)
NIGERIA YAZINDUA VITAMBULISHO VYA TAIFA
10 years ago
Habarileo03 Jun
Milioni 6 waandikishwa vitambulisho vya Taifa
WATU zaidi ya milioni 6.1 wameshaandikishwa kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho vya Taifa na kati yao milioni 2.5 wameshapatiwa vitambulisho tangu zoezi hilo lizinduliwe mwezi Februari 2013.
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Vitambulisho vya Taifa bado ni kitendawili
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Mchakato wa Vitambulisho vya Taifa uboreshwe
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TfsamXCldlo/VB3rvX03nUI/AAAAAAAGkzk/fyhnwOMITIk/s72-c/images.jpg)
Usajili Vitambulisho vya Taifa wazinduliwa Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-TfsamXCldlo/VB3rvX03nUI/AAAAAAAGkzk/fyhnwOMITIk/s1600/images.jpg)
Usajili na Utambuzi wa watu katika mkoa wa Morogoro umezinduliwa rasmi Septemba 20, 2014 na Mkuu wa Mkoa wa huo, Joel Bendera katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Morogoro.
Akizindua zoezi hilo aliwasisitiza wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa mamlaka za Serikali za Mitaa, makatibu tawala wilaya na viongozi wote kufikia ngazi ya kijiji na mtaa kuhakikisha kwamba wanashiriki kikamilifu katika kufanikisha usajili wa watu katika mkoa wake.
Alisema viongozi...
11 years ago
Habarileo09 Feb
NIDA waomba uvumilivu vitambulisho vya taifa
MKURUGENZI wa Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Maimu amewataka watanzania kuwa wavumilivu katika usajili wa vitambulisho ingawa inachukua muda mrefu kwa sababu kitambulisho wanachopata ni muhimu sana.
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Nida yafafanua uchukuaji vitambulisho vya taifa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7CihWg7_Ujg/VOLiH3Fs2LI/AAAAAAAAa4E/WPrL5uE1EIo/s72-c/1.jpg)
MCHAKATO WA VITAMBULISHO VYA TAIFA WILAYA YA ILALA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7CihWg7_Ujg/VOLiH3Fs2LI/AAAAAAAAa4E/WPrL5uE1EIo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gyQ_4YbBP2Q/VOLiIpl5UiI/AAAAAAAAa4M/dHP_390HckY/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-v8O29ngtg8s/VOLiIjKwGPI/AAAAAAAAa4Q/BQ8F22QyS7Q/s640/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uIMYSxhmCdk/U7KnG8D2HLI/AAAAAAACkmI/IMznMNgQG8c/s72-c/05_12_9rh7q1.jpg)
VITAMBULISHO VYA TAIFA KUWAFIKIA LINDI NA MTWARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uIMYSxhmCdk/U7KnG8D2HLI/AAAAAAACkmI/IMznMNgQG8c/s1600/05_12_9rh7q1.jpg)
Aidha Mkurugenzi huyo amesema kuwa baada ya kukamilisha zoezi hilo katika mikoa ya Dar es Salaam na mikoa yote mitano ya Zanzibar sasa wanaelekea katika mikoa hiyo .
Akizungumza katika...