Vitambulisho vya Taifa bado ni kitendawili
Tuliwahi kusema katika safu hii kwamba mpango wa Serikali wa kuandikisha wananchi ili kuwapatia vitambulisho vya Taifa hautafanikiwa kama matatizo yaliyokuwa yakigubika mpango huo hayangepatiwa ufumbuzi wa kudumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 May
Vitambulisho vya Taifa vyalalamikiwa
10 years ago
Habarileo03 Jun
Milioni 6 waandikishwa vitambulisho vya Taifa
WATU zaidi ya milioni 6.1 wameshaandikishwa kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho vya Taifa na kati yao milioni 2.5 wameshapatiwa vitambulisho tangu zoezi hilo lizinduliwe mwezi Februari 2013.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPjMlrraIsoe4TThDbOG6qurh5qc4AtHMTm8AOn3br7mJ--1PIGDcUjNaBa2f3C8beYNFUGHsniUjv38OllwGmOs/IDNIGERIA.jpg)
NIGERIA YAZINDUA VITAMBULISHO VYA TAIFA
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Mchakato wa Vitambulisho vya Taifa uboreshwe
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7CihWg7_Ujg/VOLiH3Fs2LI/AAAAAAAAa4E/WPrL5uE1EIo/s72-c/1.jpg)
MCHAKATO WA VITAMBULISHO VYA TAIFA WILAYA YA ILALA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7CihWg7_Ujg/VOLiH3Fs2LI/AAAAAAAAa4E/WPrL5uE1EIo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gyQ_4YbBP2Q/VOLiIpl5UiI/AAAAAAAAa4M/dHP_390HckY/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-v8O29ngtg8s/VOLiIjKwGPI/AAAAAAAAa4Q/BQ8F22QyS7Q/s640/3.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Nida yafafanua uchukuaji vitambulisho vya taifa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7LhCmtEg1a8/VDmb9SpKFrI/AAAAAAAGpU4/gow4WepxIGI/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Usajili Vitambulisho vya Taifa wabishahodi Ruvuma
11 years ago
Habarileo10 Jul
‘Vitambulisho vya Taifa si mbadala wa kadi ya mpigakura’
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Damian Lubuva amesema vitambulisho vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) si mbadala wa kadi ya mpiga kura.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TfsamXCldlo/VB3rvX03nUI/AAAAAAAGkzk/fyhnwOMITIk/s72-c/images.jpg)
Usajili Vitambulisho vya Taifa wazinduliwa Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-TfsamXCldlo/VB3rvX03nUI/AAAAAAAGkzk/fyhnwOMITIk/s1600/images.jpg)
Usajili na Utambuzi wa watu katika mkoa wa Morogoro umezinduliwa rasmi Septemba 20, 2014 na Mkuu wa Mkoa wa huo, Joel Bendera katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Morogoro.
Akizindua zoezi hilo aliwasisitiza wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa mamlaka za Serikali za Mitaa, makatibu tawala wilaya na viongozi wote kufikia ngazi ya kijiji na mtaa kuhakikisha kwamba wanashiriki kikamilifu katika kufanikisha usajili wa watu katika mkoa wake.
Alisema viongozi...