UTOAJI WA VITAMBULISHO VYA TAIFA TEMEKE JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp23cAX0CpLXyH-opN9-ftBVb4mPBIdD7cV8bFFrELkFLVRfcsw7zUDj63ghrYe7lE4nIA*9nHkNe0c*N8qsbU425/IMG20140807WA0000.jpg)
Baadhi ya wananchi wa kata ya Makangarawe, Manispaa ya Temeke, Dar wakisubiri zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya taifa leo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Aug
Utoaji vitambulisho vya Taifa wakamilika Dar, Zanzibar
KAZI ya kuandikisha na kutoa vitambulisho vya Taifa, imekamilika Zanzibar na mkoa wa Dar es Salaam.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rjlUBBHjG1A/XlAFDiUBGiI/AAAAAAALewk/zbHIv2hLF24IyaRtMhcwOBqEcK2ynrpugCLcBGAsYHQ/s72-c/nida%252Bpic.jpg)
WAZIRI MKUU AAGIZA UMAKINI UFANYIKE UTOAJI VITAMBULISHO VYA TAIFA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rjlUBBHjG1A/XlAFDiUBGiI/AAAAAAALewk/zbHIv2hLF24IyaRtMhcwOBqEcK2ynrpugCLcBGAsYHQ/s400/nida%252Bpic.jpg)
WAZIRI Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema ameagiza umakini ufanyike katika utoaji wa vitambulisho vya Taifa hususani katika Mikoa iliyopo mipakani ili kuimarisha usalama wa nchi.
Majaliwa ameyasema hayo leo wakati akiongea na wajumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu chama cha mapinduzi(CCM)ya Mkoa wa Kigoma akiwa kwenye sikubya kwanza ya ziara yake amesema kumekuwepo na malalamiko ya wananchi wanaofuatilia vitambulisho vya Taifa wanadaiwa siyo raia wa Tanzania...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bcDBzAwLtz4/U8fodb2IkvI/AAAAAAAF3Fg/dGKIFifaX5A/s72-c/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana azindua rasmi utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi Wilaya ya Kinondoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-bcDBzAwLtz4/U8fodb2IkvI/AAAAAAAF3Fg/dGKIFifaX5A/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XBuQl9DVg6E/U8foeFB_gCI/AAAAAAAF3Fk/Js-pE7P8knQ/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
Mwananchi13 May
Vitambulisho vya Taifa vyalalamikiwa
9 years ago
VijimamboSWALA YA IDD EL HAJI ILIVYOFANYIKA VIWANJA VYA MWEMBE YANGA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Vitambulisho vya Taifa bado ni kitendawili
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Mchakato wa Vitambulisho vya Taifa uboreshwe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPjMlrraIsoe4TThDbOG6qurh5qc4AtHMTm8AOn3br7mJ--1PIGDcUjNaBa2f3C8beYNFUGHsniUjv38OllwGmOs/IDNIGERIA.jpg)
NIGERIA YAZINDUA VITAMBULISHO VYA TAIFA
10 years ago
Habarileo03 Jun
Milioni 6 waandikishwa vitambulisho vya Taifa
WATU zaidi ya milioni 6.1 wameshaandikishwa kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho vya Taifa na kati yao milioni 2.5 wameshapatiwa vitambulisho tangu zoezi hilo lizinduliwe mwezi Februari 2013.