JAJI MKUU- AWATAKA MAHAKIMU KUWA TAYARI KUSIKILIZA MASHAURI YA ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-k8d0cBTSNs4/Xrv8u0YZNrI/AAAAAAALqF8/G7T6TcRSjFUWvZUe11VXgYjJGtqXH18sACLcBGAsYHQ/s72-c/JAJI.png)
Na Magreth Kinabo- MahakamaJAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma amewataka Mahakimu kuwa na utayari wa kuanza kusikiliza mashauri yanayohusu ardhi ili kutatua changamoto na malalamiko yaliyojitokeza kwenye eneo hilo kupitia Mabaraza ya Ardhi hali iliyosababisha suala hilo kwenda Serikalini.
Akizungumza leo mara baada ya kumuapisha Hakimu Mkazi, Mhe. Olivia Towilo ofisini kwake, iliyopo Mahakama ya Rufani Tanzania, Jijini Dar es Salaam. Jaji Mkuu alisema Mahakama imekuwa ikifanya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jun
‘Kila jaji anapaswa kusikiliza mashauri 220 kwa mwezi’
11 years ago
Mwananchi01 Jul
MASHAURI: Majaji wawili kusikiliza kesi 11 za mauaji Moshi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KANDA YA SONGEA YAANZA KUSIKILIZA MASHAURI NA KUTOA HUKUMU KWA 'VIDEO CONFERENCE'.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
Na Brian Haule –Mahakama Kuu Songea
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Songea imeanza kusikiliza mashauri na kutoa hukumu kwa Mahakama Mtandao yaani ‘Video Conference’.
Mahakama hiyo imeanza kusikiliza mashauri kwa njia hiyo, baada ya jitihada za Mahakama ya Tanzania kununua vifaa maalumu vya kuendesha mahakama kwa mtandao kwa ajili ya mahakama mbalimbali nchini, ikiwa ni hatua za kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa (COVID 19) sambamba na...
10 years ago
Habarileo11 Apr
Jaji Mkuu aagiza umakini nyaraka za ardhi
MAHAKIMU kisiwani Pemba wametakiwa kuwa makini katika utekelezaji wa majukumu yao ikiwemo kuangalia kwa makini nyaraka za ardhi ambapo baadhi ya watu wanaonesha hati za umiliki wa mashamba ambazo zilifutwa mara baada ya Mapinduzi ya mwaka 1964.
11 years ago
Habarileo10 Mar
RC amlalamikia Jaji Mkuu ucheleweshaji kesi za ardhi
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amemweleza Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, kuhusu ugumu wa utekelezaji wa baadhi ya uamuzi, unaotolewa na Mahakama katika utatuzi wa migogoro ya ardhi baina ya makundi mbalimbali mkoani humo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--i7EWKA0RnM/VJLaCUXdIQI/AAAAAAAG4K0/ZA8XhmScb8M/s72-c/Untitled1.png)
JAJI MKUU WA TANZANIA AMUAPISHA MHE. VINCENT LYIMO KUWA MSULUHISHI MKUU WA MIGOGORO YA BIMA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/--i7EWKA0RnM/VJLaCUXdIQI/AAAAAAAG4K0/ZA8XhmScb8M/s1600/Untitled1.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UYQIb8LV8HE/VJLaCN4d9pI/AAAAAAAG4Kw/s7G74oWwhE4/s1600/Untitled2.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lsQaEguN2ic/VJLaCUmESvI/AAAAAAAG4K4/AmL7hlUlZFc/s1600/Untitled3.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-B3jQjxJ41o8/Vksqq9XPEuI/AAAAAAAIGbU/weFAWE6qbMM/s72-c/3.jpg)
Jaji mkuu wa Tanzania akutana na watendaji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
![](http://2.bp.blogspot.com/-B3jQjxJ41o8/Vksqq9XPEuI/AAAAAAAIGbU/weFAWE6qbMM/s640/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RtgX0pTJfEk/Xuw310oK9jI/AAAAAAALuhY/vL9J9t1fHnUyhNJJw71E47YF6JEl1oTuACLcBGAsYHQ/s72-c/1-29.jpg)
JAJI KAHYOZA: MBINU TULIZOJIWEKEA ZIMETUSAIDIA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-RtgX0pTJfEk/Xuw310oK9jI/AAAAAAALuhY/vL9J9t1fHnUyhNJJw71E47YF6JEl1oTuACLcBGAsYHQ/s640/1-29.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-19.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Adam Kighoma Malima akizungumia kuhusu kuwepo kwa baada ya Mahakama ya Tanzania kufanya uboreshaji wa miundombinu ya Mahakama yalivyorahisisha utoaji haki na kuokoa gharama kwa wananchi wa eneo hilo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3.png)
Mtendaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Musoma, Bw. Festo Chonya akizungumzia kuhusu maboresho...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_122816.jpg)
LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI
![IMG_20200624_122816 IMG_20200624_122816](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200624_122816.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...