DC Njombe aagiza sehemu za starehe kufungwa saa nne usiku kuepuka Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z6MUhkFCe2M/XnjLJl1lrmI/AAAAAAALk1o/z_ADjs4LoB0QAmXpBpjgkauLrsKbXmR2QCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-03-23-17h15m58s086.png)
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza watoa huduma za baa na wamiliki wa maeneo ya starehe kufunga huduma hizo kwa kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19) ili kuepusha maambukizi na kuenea kwa virusi hivyo.
Ruth Msafiri ametoa agizo hilo mapema siku ya leo wakati akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo vya habari vya ndani ya wilaya hiyo (radio za jamii) kwa lengo la kutoa tahadhari,kutoa elimu na hatua ilipofikia wilaya hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5ty75VFGexI/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1tB7OsNPv8c/XnzHZA0J7lI/AAAAAAALlLo/PqsCDFqjfFUf4GYcfxcOfd8Ld_BGILN0gCLcBGAsYHQ/s72-c/michuzi.jpg)
Wachungaji Njombe watii agizo,wasitisha sherehe za harusi kuepuka CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1tB7OsNPv8c/XnzHZA0J7lI/AAAAAAALlLo/PqsCDFqjfFUf4GYcfxcOfd8Ld_BGILN0gCLcBGAsYHQ/s400/michuzi.jpg)
Baada ya serikali mkoani Njombe kutoa maelekezo na kupiga marufuku matukio ya sherehe za harusi na misiba kuhusisha watu wengi ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya CORONA (COVID-19),viongozi wa madhehebu mbalimbali na wenyeviti wa serikali za mitaa na vijiji mkoani humo wamekiri na kuja na utaratibu mpya utakaokuwa ukitumika ili kuepukana na maambukizi hayo.
Wakiweka bayana hatua walizochukuliwa katika uendeshaji wa ibada za harusi na misiba viongozi wa dini...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UesLEJlagrA/U6K269L4PzI/AAAAAAAFrrQ/RWG18-x3Hcg/s72-c/unnamed.gif)
NEWS ALERT: SEHEMU YA BARABARA YA Ubungo Mataa Dar es salaam kufungwa kesho na keshokutwa usiku kupisha ujenzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-UesLEJlagrA/U6K269L4PzI/AAAAAAAFrrQ/RWG18-x3Hcg/s1600/unnamed.gif)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-92slDJ3XC1o/VkSBvf2DECI/AAAAAAAIFcg/o7RTqsE8cOQ/s72-c/AsqFrKbu0YVr43Rx8rmGi30ZmVdoIVnFdbLENPuG5dou.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h9fqWzXOUiE/XlKXNCQNiDI/AAAAAAAEFpY/WBtl9SIRsbAcoLsTs4lu7rnyVoYH_eYJQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-51-2048x1202.jpg)
UTATUZI MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM WAMFIKISHA LUKUVI SAA NNE USIKU
![](https://1.bp.blogspot.com/-h9fqWzXOUiE/XlKXNCQNiDI/AAAAAAAEFpY/WBtl9SIRsbAcoLsTs4lu7rnyVoYH_eYJQCLcBGAsYHQ/s640/1-51-2048x1202.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri jana tarehe 23 Februari 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-43-scaled.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mabwepande waliofika ofisni kwake Dar es Salaam kwa ajili ya kutatua mgogoro wa ardhi kupitia program ya Funguka kwa Waziri jana tarehe 23 Februari 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-43-scaled.jpg)
Sehemu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yhz06ZuNj0g/XlIcsM2eOUI/AAAAAAALe5Y/dsG-a4XA9kMjCWKrgE-9eg4ve9m6khWLgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
UTATUZI MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM WAMFIKISHA LUKUVI SAA NNE USIKU OFISINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yhz06ZuNj0g/XlIcsM2eOUI/AAAAAAALe5Y/dsG-a4XA9kMjCWKrgE-9eg4ve9m6khWLgCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_V8Unf7_f9g/XlIctVTCHSI/AAAAAAALe5c/OlXubw0xM1E291w3SYgZ1dS2Eg9r-h_HgCLcBGAsYHQ/s1600/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-hfQJDmKMhdE/XlIct8RCY0I/AAAAAAALe5g/RD4I9yP4hlE4-KQZowm6oAx5BxgPg2g5ACLcBGAsYHQ/s1600/3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...