ANGALIA KIPINDI CHA DANGACHEE CHANEL10, LEO SAA NNE KAMILI USIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-92slDJ3XC1o/VkSBvf2DECI/AAAAAAAIFcg/o7RTqsE8cOQ/s72-c/AsqFrKbu0YVr43Rx8rmGi30ZmVdoIVnFdbLENPuG5dou.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H7BLiDgzeIU/Vk2gMJBta2I/AAAAAAAIGyA/oJc08uwWr3I/s72-c/AsosAlM6YBi7ImU5KCmi2opk6XAa6c9OR_wo8iyO-7vk.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5ty75VFGexI/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
9 years ago
GPL28 Oct
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/bNen9aeuA9k/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-gx6WWG-fZCo/VgnlarNVTdI/AAAAAAAAJuk/2YApWIPvTKE/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha JUKWAA LANGU Sept 28 2015 (FULL) KILA SIKU YA LEO JUMATATU KUANZIA SAA 12 JIONI ET USIKOSE
![](http://3.bp.blogspot.com/-gx6WWG-fZCo/VgnlarNVTdI/AAAAAAAAJuk/2YApWIPvTKE/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Hiki ni kipindi kilichosikika Septemba 28, 2015
Kutoka Tanzania tuliungana na Liberatus Mwang'ombe. Mgombea ubunge jimbo la Mbarali kwa tiketi ya CHADEMA
Studioni alikuwepo Dj Luke Joe, na kwa njia ya simu tukaungana na wasikilizaji wengi ndani na nje ya Marekani
KARIBU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z6MUhkFCe2M/XnjLJl1lrmI/AAAAAAALk1o/z_ADjs4LoB0QAmXpBpjgkauLrsKbXmR2QCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-03-23-17h15m58s086.png)
DC Njombe aagiza sehemu za starehe kufungwa saa nne usiku kuepuka Corona
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza watoa huduma za baa na wamiliki wa maeneo ya starehe kufunga huduma hizo kwa kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19) ili kuepusha maambukizi na kuenea kwa virusi hivyo.
Ruth Msafiri ametoa agizo hilo mapema siku ya leo wakati akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo vya habari vya ndani ya wilaya hiyo (radio za jamii) kwa lengo la kutoa tahadhari,kutoa elimu na hatua ilipofikia wilaya hiyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania