Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachungaji Njombe watii agizo,wasitisha sherehe za harusi kuepuka CORONA


Na Amiri kilagalila,Njombe

Baada ya serikali mkoani Njombe kutoa maelekezo na kupiga marufuku matukio ya sherehe za harusi na misiba kuhusisha watu wengi ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya CORONA (COVID-19),viongozi wa madhehebu mbalimbali na wenyeviti wa serikali za mitaa na vijiji mkoani humo wamekiri na kuja na utaratibu mpya utakaokuwa ukitumika ili kuepukana na maambukizi hayo.

Wakiweka bayana hatua walizochukuliwa katika uendeshaji wa ibada za harusi na misiba viongozi wa dini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DC Njombe aagiza sehemu za starehe kufungwa saa nne usiku kuepuka Corona


Na Amiri kilagalila,Njombe

Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza watoa huduma za baa na wamiliki wa maeneo ya starehe kufunga huduma hizo kwa kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19) ili kuepusha maambukizi na kuenea kwa virusi hivyo.

Ruth Msafiri ametoa agizo hilo mapema siku ya leo wakati akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo vya habari vya ndani ya wilaya hiyo (radio za jamii) kwa lengo la kutoa tahadhari,kutoa elimu na hatua ilipofikia wilaya hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

WIZARA YA ELIMU YASITISHA SHEREHE ZA UFUNGUZI MASHINDANO YA MAKISATU KUEPUKA CORONA


Charles James, Globu ya Jamii

KATIKA kuchukua tahadhari ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona kwenye maeneo mbalimbali, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imehairisha sherehe za ufunguzi wa mashindano ya kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu zilizokua zifanyike leo jijini Dodoma.

Akizungumza leo katika uwanja wa Jamhuri ambapo mashindano hayo yanafanyika, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof James Mdoe kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Prof Joyce Ndalichako...

 

9 years ago

MillardAyo

Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video)

Ndugu jamaa na marafiki walijikuta wakiendelea na ratiba ya mazishi kwa mtindo wa sherehe baada ya bwana harusi kufariki… bibi harusi nae ilibidi akubaliane na ukweli kwamba ndoa yao imekatishwa na kifo cha mume mtarajiwa. Kifo cha bwana harusi John Mwangi kilitokana na ajali baada ya gari kutumbukia mtoni maeneo ya Kabarnet, Kaunti ya Baringo Kenya… […]

The post Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

StarTV

 Wakazi Njombe waaswa kusafisha mazingira ili kuepuka  Magonjwa Ya Mlipuko

Wakazi wa mkoa wa Njombe wamehimizwa kuhakikisha wanalinda mazingira kwa kufanya usafi katika makazi yao ili kujihadhari na maambukizi ya magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.

Ni rai ya mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi katika maadhimisho ya Wiki ya Mazingira ambayo yamefanyika kitaifa mkoani Njombe.

Mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Nchimbi amesema mkoa umepata sifa kubwa ya kuwa mwenyeji wa wiki ya maadhimishio hayo na kwamba iwe fursa wakazi hao kujifunza kuwa kielelezo cha usafi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA HARUSI YA OSWALD NA SUSAN

Oswald na Susan wakiwa kwenye sherehe ya harusi yao iliyofanyika kwenye ukumbi wa kanisa katoliki la Mt. Peter lililopo Burmingham, Alabama siku ya Jumamosi April 11, 2015.Maharusi na wapambe wao wakiwa meza kuu.Wasimamizi wa maharusi wakijipanga kuwapokea Oswald na Susan wakati walipokua wakiingia ukumbini. Wasimamizi wakiwa tayari kuwapokea maharusi. Wapambe wa maharusi wakiingia ukumbini. Maharusi wakiingia kwa staili ya ghari, ghari. Maharusi wakifanya vitu vyao. Ni cherekuchereku kwa...

 

10 years ago

GPL

LUCY KOMBA: HARUSI BONGO, SHEREHE MAMTONI

HISTORIA
Dada Lucy hongera kwa kuwa na kipaji, kiukweli unaweza, kubwa napenda kuijua historia yako kwa ufupi. Thabiti Kiula, Igunga, 0786947474 Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lucy Komba akipozi. LUCY: Mimi ni mama wa mtoto mmoja wa kiume. Nimezaliwa Dar katika Hospitali ya Lugalo. Nina elimu ya kidato cha nne baada ya hapo nikasomea mambo ya usekretari. Mimi ni mwajiriwa wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Sanaa...

 

10 years ago

GPL

BWANA HARUSI APATWA NA UCHIZI SHEREHE IKIENDELEA

KAMA kawa, kama dawa. Ni siku nyingine mapaparazi wetu wanaotii amri za mkuu wao, Musa Mateja ‘Toz’, Dustan Shekidele ‘Mkude Simba au Mzee wa Mji Kasoro Bahari’, Issa Mnally ‘Mzee wa GX 100’ na Mpigapicha Mkuu, Richard Bukos walijiachia viwanja mbalimbali kusaka matukio na kuwasiliana na Mkuu wao aliyekuwa makao makuu ya gazeti hili, Bamaga- Mwenge, jijini Dar.
Saa 3:14 usiku Banana Zoro...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA HARUSI YA SANDRA NA GEORGE DALLAS, TEXAS.

Maharusi wakiwa meza kuu wakipata picha ya kumbukumbu na mmoja ya mtoto wao siku ya sherehe ya harusi yao iliyofanyika katika hoteli ya Westin iliyopo mtaa Legacy Dr. Dallas, Texas siku ya Jumamosi July 4, 2015 na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya Dunia.Wapambe wa Bwna na Bi harusi.WasimamiziWasimamiziWasimamiziFor More photos Click Soma Zaidi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani