KAMANDA MPINGA: WANANCHI TUPENI TAARIFA KAMA KUNA VITENDO VYA RUSHWA
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa mara waonapo vitendo vya rushwa. Naibu Kamishna Mpinga ameyasema hayo wakati akihojiwa na Global TV Online hivi karibuni.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0Tli6jj4mEll6RVQtzx4doXdoT5UlS*Vkk9Pnn7JdtzPGNx6yl6*Vu6kmHnhcN*9dwaEP8W0wKeMqal8mfdioTn/mpinga.jpg)
KAMANDA MPINGA: TOA TAARIFA UKIONA MWENDO KASI WA BASI
10 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AFUNGUA NUSU FAINALI MASHINDANO YA SOKA YA BODABODA (MPINGA CUP)
11 years ago
Michuzi14 Apr
10 years ago
BBCSwahili27 May
Wafahamu washukiwa wa vitendo vya rushwa
10 years ago
Habarileo06 Apr
Paroko wa RC akemea vitendo vya rushwa
PAROKO wa Kanisa Katoliki (RC) , Parokia ya Masasi jimbo la Tunduru-Masasi mkoani Mtwara, Dominick Mkapa amekemea vitendo vya rushwa vinavyofanywa na baadhi ya watu waliopewa mamlaka serikalini mazingira yanayochangia kuwepo kwa mikataba mingi isiyo na tija kwa taifa letu.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pSnHdW4-aWk/XkeMrJcXcxI/AAAAAAAAmso/4eE7cFXaosgxcktPfJuewmHn0JK-4kw2QCEwYBhgL/s72-c/thumbnail%2BMBUNGE%2B1.jpg)
MBUNGE WA USHETU AKEMEA VITENDO VYA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pSnHdW4-aWk/XkeMrJcXcxI/AAAAAAAAmso/4eE7cFXaosgxcktPfJuewmHn0JK-4kw2QCEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B1.jpg)
Mbunge wa jimbo la Ushetu, Mheshimiwa Elias Kwandikwa akizinduajengo la Chama cha Msingi cha Ushirika (Uyogo AMCOS) katika kataya Uyogo na kuahidi mifuko ya saruji 100 kwa ajili ya ujenzi wa jengohilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-IsGL1eVMGEw/XkeMrAJQusI/AAAAAAAAmss/5aMvIqtqUg87SbCHIO2Hf3PiGiDXpQ8aACEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xf0RSLQ-nV0/XkeMrEJHb4I/AAAAAAAAmss/qWkgER-2ofAXT5EAJmVhIRUOYZ9It_dkwCEwYBhgL/s640/thumbnail%2BMBUNGE%2B3.jpg)
11 years ago
Habarileo10 Apr
Viongozi wa dini walalamikia vitendo vya rushwa Kasulu
VIONGOZI wa dini katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma wamewalalamikia baadhi ya watendaji wa Serikali wilayani hapo, mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kuwa wamekithiri kwa vitendo vya rushwa, hali inayotishia haki ya wananchi wa wilaya hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nt1TP_UmusE/Xu8jucSSIRI/AAAAAAALuzI/Z47s1eQpi3AF80i4fg3wbV-2hgAYys4OQCLcBGAsYHQ/s72-c/07d77c1f-02de-4503-8d43-03c9443d0b65.jpg)
MAJALIWA: WATU WOTE WATAKAOJIHUSISHA NA VITENDO VYA RUSHWA WAKAMATWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-nt1TP_UmusE/Xu8jucSSIRI/AAAAAAALuzI/Z47s1eQpi3AF80i4fg3wbV-2hgAYys4OQCLcBGAsYHQ/s640/07d77c1f-02de-4503-8d43-03c9443d0b65.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Nachingwea akiwa njiani kwenda Ruangwa kwa ziara ya kikazi, Juni 20, 2020. Wa pili kushoto ni mkewe Mary na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6397f8ff-75bc-47a0-b5f4-bf4aad6a13e1.jpg)
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Tumejipangaje kama taifa kukabiliana na vitendo vya udukuzi?