Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumejipangaje kama taifa kukabiliana na vitendo vya udukuzi?

Kwa watu wengi neno ‘udukuzi’ huenda likawa geni masikioni ama machoni mwao. Nianze kwa kuifafanua dhana hii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAMANDA MPINGA: WANANCHI TUPENI TAARIFA KAMA KUNA VITENDO VYA RUSHWA

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa mara waonapo vitendo vya rushwa. Naibu Kamishna Mpinga ameyasema hayo wakati akihojiwa na Global TV Online hivi karibuni.

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu wa vyombo vya ufuatiliaji vitendo vya unyanyasaji  bado ni changamoto

Licha ya kuwepo kwa sheria ya kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji imebainika kuwa kuna tatizo kubwa la kukosekana kwa vyombo maalumu vya ufuatiliaji wa vitendo hivyo kuanzia ngazi ya majumbani ili kuwabaini wanaotenda makosa hayo na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Vitendo vya unyanyasaji vimekuwa vikibomoa msingi imara ambao watoto wanahitaji ili wawe na afya bora na maisha yenye tija lakini pia vinasigana na haki ya msingi ya watoto kuishi salama utotoni.

Pamoja na kudaiwa kupungua kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

THBUB yalaani mauaji na vitendo vya ukatili wa viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi!

1

Mtoto Mlemavu wa Ngozi (Albino) Adam Robert (13) wakati akiwa amelazwa hospitalini baada ya kujeruhiwa na kwa kukatwa mkono na kisha kunyofolewa Vidole sita vya mikono yote miwili,picha hii ilipigwa siku moja tu baada ya kufikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita. (Maktaba;Picha hii ilipigwa Oktoba 14 mwaka 2011).

Press Release_Albino Kukatwa Viungo by moblog

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook kupambana na vitendo vya kujiua

Mtandao wa Facebook umeanzisha Nyenzo mpya nchini Marekani kuwasaidia watu wenye mashaka na marafiki ambao wako hatarini kujiua.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafahamu washukiwa wa vitendo vya rushwa

Maafisa sita wa soka wamekamatwa mjini Zurich nchini Uswisi kwa shutuma za vitendo vya rushwa ya dola milioni 100

 

10 years ago

Habarileo

Paroko wa RC akemea vitendo vya rushwa

PAROKO wa Kanisa Katoliki (RC) , Parokia ya Masasi jimbo la Tunduru-Masasi mkoani Mtwara, Dominick Mkapa amekemea vitendo vya rushwa vinavyofanywa na baadhi ya watu waliopewa mamlaka serikalini mazingira yanayochangia kuwepo kwa mikataba mingi isiyo na tija kwa taifa letu.

 

9 years ago

StarTV

Mbwa maalum wapelekwa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha kukabiliana na Ujangili

Vita ya kupambana na ujangili katika hifadhi ya Taifa ya Ruaha na mikoa ya Kusini kwa jumla inaendelea kushika kasi ya aina yake baada ya Mbwa maalum wenye uwezo wa kunusa na kufuatilia nyendo za majangili kuletwa hifadhini hapo.

Kwa kuanzia, Mbwa wawili wameletwa na Hifadhi hiyo kwa kushirikiana na Shirika la Wanyamapori la WCS linalotekeleza mradi wa hifadhi za wanyamapori katika hifadhi za Ruaha na Katavi.

Katika moja ya sehemu ya mabanda ya kulala wageni katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha,...

 

10 years ago

Habarileo

Raia wa kigeni chachu ya vitendo vya kihuni

Mbunge wa Jimbo la Simanjiro, Christopher ole SendekaMJI wa Mirerani uliopo wilayani Simanjiro mkoani Manyara unadaiwa kuvamiwa na raia wa nje wanaotuhumiwa kuendesha vitendo vya kihuni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vitendo vya kikatili adha inayowakumba wanawake

UKIZUNGUMZIA ukatili wa kijinsia, akili za watu wengi zinajikita katika unyanyasaji wa wanawake. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa ukatili wa kijinsia kwa kiwango kikubwa huwakumba wanawake kuliko wanaume. Lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani