Vitendo vya kikatili adha inayowakumba wanawake
UKIZUNGUMZIA ukatili wa kijinsia, akili za watu wengi zinajikita katika unyanyasaji wa wanawake. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa ukatili wa kijinsia kwa kiwango kikubwa huwakumba wanawake kuliko wanaume. Lakini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fJ7MCuCFEfk/Xl4OOmF2XrI/AAAAAAACz60/FIkUM-F-ZUcsQ9dYY_PmH1HcFJSzRdfSgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUUNGA MKONO SERIKALI DHIDI YA VITENDO VYA KIKATILI HASA KWA WANAWAKE NA WTOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-fJ7MCuCFEfk/Xl4OOmF2XrI/AAAAAAACz60/FIkUM-F-ZUcsQ9dYY_PmH1HcFJSzRdfSgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mkuu wa mkoa huyo ameyasema hayo jana mkoani humo wakati akiupokea Msafara wa Kijinsia kutokomeza ukatili unaolenga kutoa elimu kwa jamii kuhusu madhara ya kufanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Kitaifa Simiyu Machi 08,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XzHiUFEsZfM/XlQodgz5pnI/AAAAAAALfMI/ITicwX_ioHYJL8fFM9jC6vDmfnW75akeACLcBGAsYHQ/s72-c/1449ca8c-68eb-472a-94b8-80d7dd152563.jpg)
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani wazinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani umezinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Akizungumza wakati akizindua Msafara huo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Juma Zuberi Homera amesema kuwa vitendo vya kikatili vimekuwa vikishamiri kila siku katika jamii zetu hivyo vinatakiwa kupatiwa mbinu ya kupambana navyo.
Ameongeza kuwa Serikali haiwezi kuvumilia kuona wanawake na watoto wanafanyiwa vitendo vya kikatili hivyo itahakikisha...
9 years ago
Habarileo04 Sep
‘Ngoma huzidisha vitendo vya kikatili kwa watoto’
KAMATI ya Ulinzi wa Mtoto ngazi ya Kijiji cha Manerumango Kaskazini mkoani Pwani imekiri kuwa kipindi cha ngoma ndio wakati ambao vitendo vya ukatili kwa watoto hutokea hasa kupata ujauzito na wengine kulawitiwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yXcdPbrqFtE/XloITkVgsDI/AAAAAAALgCU/ut_ZprgJefkhOp3SFL-MMu41ES2dWIkygCLcBGAsYHQ/s72-c/2-58.jpg)
DC NJOMBE AAGIZA KUKAMATWA WALIMU WAFANYAO VITENDO VYA KIKATILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yXcdPbrqFtE/XloITkVgsDI/AAAAAAALgCU/ut_ZprgJefkhOp3SFL-MMu41ES2dWIkygCLcBGAsYHQ/s640/2-58.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-58.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-70.jpg)
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Njombe ambaye ni Mkuu wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-0UyIcuApJbg/VOcgIv0K8hI/AAAAAAAAqNc/3fwRdoWj1CU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-20%2Bat%2B2.51.23%2BPM.png)
Naungana na Wewe Kupinga Vitendo vya kikatili juu ya Albino
![](http://2.bp.blogspot.com/-0UyIcuApJbg/VOcgIv0K8hI/AAAAAAAAqNc/3fwRdoWj1CU/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-20%2Bat%2B2.51.23%2BPM.png)
Leo hii naongea nanyi nikiwa Baba, Mume, Mwandishi Mwandamizi, Blogger, na mengine mengi, lakini hali yangu sasa inaanza kunikwaza.
Haya mauaji jamani, nimejiteua kuwa Balozi, nitatetea, na kusimama mbele ya wenzangu wote wenye hali kama hii, kama ni wanasiasa ama wafanyabiashara, wanataka kutuua kwa maslahi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pf8UtCOk5_8/Xlkt4qAf2iI/AAAAAAALf8M/S6K3jtRY8nMiIld-sQgRshwAMbmyOH2iACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC NJOMBE AAGIZA KUKAMATWA WALIMU WAFANYAYO VITENDO VYA KIKATILI
Hayo yamebainika leo Makambako mkoani Njombe wakati msafara wa kijinsia kutokomeza ukatili ulipofika mkoani humo kwa ajili ya kutoa elimu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.
Mhe. Ruth amesema kuwa Serikali haipingi adhabu ya viboko ila sio kutoa adhabu ya viboko vya kupitiliza na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hnKr8x3s8Q0/XmD3yV4NfXI/AAAAAAALhOQ/tQi_Lrpwi9s7JjEmofTi_ICszDr-jBvugCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-1-3.jpg)
WATENDAJI VITENDO VYA KIKATILI HAWATAKUWA SALAMA-DAS MASWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hnKr8x3s8Q0/XmD3yV4NfXI/AAAAAAALhOQ/tQi_Lrpwi9s7JjEmofTi_ICszDr-jBvugCLcBGAsYHQ/s640/Pix-1-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pix-2-2.jpg)
Mwakilishi wa Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bi. Imelda Kamugisha akieleza Lengo la Msafara wa kijinsia wakati ulipopokelewa katika Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pix-3-3.jpg)
Msafara wa Kijinsia wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu mara baada ya kuupokea Msafara wa kijinsia ulipofika...
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
RC Dk. Kone ataka wanawake Singida wawezeshwe kiuchumi ili kuachana na vitendo vya ukeketaji
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye ufungaji wa kongamano la siku mbili la ukeketaji lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Katala Hotel Beach mjini Singida. Kongamano hilo lilihudhuriwa na wadau kutoka mikoa mitano hapa nchini ukiwemo wa Singida. Kongamano hilo lililoratibiwa na TAMWA na UNFPA, kwa kauli moja pamoja na mambo mengine, limeazimia kuongeza mapambano dhidi ya ukeketaji na kuitaka jamii katika mikoa yote nchini kuondokana na mila potofu na...
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Mavuno yageuka adha kwa wanawake Mbozi
YAWEZEKANA kipindi cha mavuno ya mazao kikawa cha furaha na faraja kwa familia hasa ikizingatiwa ni kipindi cha matunda ya kazi ngumu ya kilimo. Lakini kwa wanawake wa Mbozi, imekuwa...