Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mavuno yageuka adha kwa wanawake Mbozi

YAWEZEKANA kipindi cha mavuno ya mazao kikawa cha furaha na faraja kwa familia hasa ikizingatiwa ni kipindi cha matunda ya kazi ngumu ya kilimo. Lakini kwa wanawake wa Mbozi, imekuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Vitendo vya kikatili adha inayowakumba wanawake

UKIZUNGUMZIA ukatili wa kijinsia, akili za watu wengi zinajikita katika unyanyasaji wa wanawake. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa ukatili wa kijinsia kwa kiwango kikubwa huwakumba wanawake kuliko wanaume. Lakini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya Tafiti kuondoa adha ya wanawake watumia kuni

massele+px

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mhe. Stephen Masele.

Na.  Johary Kachwamba – MAELEZO, DODOMA

Tafiti mbalimbali zimefanyika na zinaendelea kufanyika ili kupata majiko mbadala yasiyotumia nishati ya kuni hapa nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mhe. Stephen Masele wakati akijibu swali la msingi la Mhe. Amina Makilagi, mbunge wa Viti Maalum iliyehoji matumizi ya tafiti za kupata majiko mbadala

“tafiti hizi zinahusu...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI 2015 : CCM ijihadhari majimbo ya Mbarali, Mbozi Magharibi na Mbozi Mashariki

Jimbo la Mbarali kama yalivyo mengine lilianza siasa za vyama vingi mwaka 1995 kwa ushawishi wa kipekee kutoka kwa vyama mbalimbali, huku NCCR Mageuzi ikionyesha kila aina ya makeke.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndoto yageuka biashara kwa mtanzania

Kutana na mwanamke aliyekuwa na ndoto halafu ikatimia.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ya Umoja Kitaifa yageuka shubiri kwa CCM

Wakati homa ya uchaguzi mkuu ikipamba moto, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimekerwa na viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kuvunja makubaliano kwa kutoa kauli zinazotofautiana na Serikali kwenye majukwaa.

 

10 years ago

GPL

MVUA YAGEUKA KERO KUBWA KWA WAKAZI WA DAR

Soko la Mchikichini, Ilala-Boma linavyoonekana kufuatia mvua za sasa Maji yalivyotapakaa soka la Sinza Afrika-Sana. Wakazi wa Mwanayamala-Mkwajuni wakitoa maji katika nyumba zao.…

 

11 years ago

Michuzi

MAVUNO MAKUBWA YA MAHINDI SHAMBANI KWA MH. PINDA

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua mavuno ya mahindi kutoka shambani kwake yaliyokusanywa nyumbani kwake Kibaoni wilayani Mlele, Mpanda Mei 24, 2014. Mheshimiwa Pinda anatarajia kuvuna zaidi ya magunia 1000 ingawa ekari tano za mahindi hayo ziliharibiwa na Tembo kutoka hifadhi ya Katavi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

10 years ago

GPL

DK. SLAA AVISHWA VAZI LA KICHIFU, APEWA JINA LA 'MWENE WA MBOZI' HUKO MBOZI MKOANI MBEYA

Kiongozi wa Machifu wa Kabila la Wanyiha, Greenwell Msangawale akimvisha vazi maalum la kichifu Dk.Slaa. Kiongozi wa Machifu wa Kabila la Wanyiha, Greenwell Msangawale akiongea na wananchi wa Mbozi baada ya zoezi hilo.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua zatarajiwa kuleta neema ya mavuno kwa nchi za Afrika Mashariki

Uzalishaji wa chakula Ukanda wa Nchi za Afrika Mashariki, unatarajiwa kuongezeka msimu wa kilimo wa 2014/2015, hivyo kupunguza soko la mazao ya chakula yanayozalishwa nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani