Matokeo ya Tafiti kuondoa adha ya wanawake watumia kuni
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mhe. Stephen Masele.
Na. Johary Kachwamba – MAELEZO, DODOMA
Tafiti mbalimbali zimefanyika na zinaendelea kufanyika ili kupata majiko mbadala yasiyotumia nishati ya kuni hapa nchini.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mhe. Stephen Masele wakati akijibu swali la msingi la Mhe. Amina Makilagi, mbunge wa Viti Maalum iliyehoji matumizi ya tafiti za kupata majiko mbadala
“tafiti hizi zinahusu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Dec
Matokeo tafiti za ardhi kuwafikia walengwa
VIFO vya wajawazito vinavyotokana na uzazi na watoto wilayani hapa vimepungua kutoka vifo 310 kati ya wajawazito 100,000 hadi kufikia vifo 95 kwa mwaka 2013.
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Tafiti za bahari zasaidia wanawake Z’bar
TAASISI ya Sayansi za Baharini (IMS) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam visiwani Zanzibar imesema tafiti za maliasili ya bahari zimesaidia kupunguza tatizo la kadhia ya umasikini kwa wanawake...
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Mavuno yageuka adha kwa wanawake Mbozi
YAWEZEKANA kipindi cha mavuno ya mazao kikawa cha furaha na faraja kwa familia hasa ikizingatiwa ni kipindi cha matunda ya kazi ngumu ya kilimo. Lakini kwa wanawake wa Mbozi, imekuwa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Vitendo vya kikatili adha inayowakumba wanawake
UKIZUNGUMZIA ukatili wa kijinsia, akili za watu wengi zinajikita katika unyanyasaji wa wanawake. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa ukatili wa kijinsia kwa kiwango kikubwa huwakumba wanawake kuliko wanaume. Lakini...
11 years ago
Habarileo04 Jun
Wanawake Rukwa watumia kondomu kama bangili
BAADHI ya wanawake mkoani Rukwa wamebadili matumizi ya kondomu za kike kwa kuzivaa kama urembo wa bangili.
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Wanawake chachu kuondoa umaskini-Mizengo Pinda
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YjEdYvzuap8*vAuR0*3oUeRtsAZjLKf6Q1Owab7uHYhmjQr*70p9RHiJloLus7PGYMebOXAMjDdZ5XZtqAIqHvR/human1.jpg?width=650)
KUONDOA KABISA KIZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2rPPy745xUw/VPJJRZYuk7I/AAAAAAAHGq8/ZVCD-U9qGG8/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
10 years ago
Habarileo19 Feb
Kijiji chaunganishwa na umeme wa kuni
WAKAZI wa kijiji cha Uchindile wilayani Ifakara mkoani Morogoro wamepata umeme unaozalishwa kwa kutumia kuni baada ya kuzinduliwa kwa mtambo wa 10kW uliotolewa na kampuni ya kimataifa ya Camco Clean Energy.