Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake chachu kuondoa umaskini-Mizengo Pinda

Serikali imesema wanawake wa Tanzania watakuwa chachu ya taifa kuwa na uchumi wa ushindani utakaoondoa umaskini iwapo wataweza kutambua na kushiriki katika fursa zinazowazunguka kiuchumi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tunahitaji kubadilika ili kuondoa umaskini

Nakumbuka nilipokuwa bado kijana katika mkoa nilioishi kulikuwa na matajiri kadhaa ambao sisi tuliwaona wametuzidi.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Nchimbi: Watendaji saidieni kuondoa umaskini

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi amewataka watendaji kuwa na utayari wa kuwasaidia watu katika jamii wanazowajibika katika kutambua kiwango cha umaskini uliopo na namna ya kuuondoa.

 

9 years ago

Mwananchi

Malengo mengine ya kuondoa umaskini yapitishwa

Viongozi wa mataifa na taasisi kubwa duniani wamepitisha Malengo 17 Endelevu (SDGs), ili kuondoa umaskini, kubadili mfumo wa maisha ya watu wa vijijini na kuilinda dunia dhidi ya mabadiliko ya tabianchi.

 

10 years ago

Dewji Blog

JK ataka msaada ESRF kuondoa umaskini kwenye uchumi unaokua kwa kasi kubwa

DSC_0039

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP)  nchini , Alvaro Rodriguez nje ya ukumbi wa mikutano kabla ya mgeni rasmi kuwasili kwenye mkutano mkubwa wa tatu wa ESRF unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii uliofanyika jana jijini Dar katika hoteli ya Hyatt Regency,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tuzo TWAA chachu ya mafanikio ya wanawake

KATIKA jamii inayotuzunguka kumejitokeza makundi, taasisi na wanaharakati mbalimbali ambao wanajitahidi kwa hali na mali  kuhakikisha wanafanya vizuri katika kumkomboa  mwanamke katika masuala mbalimbali.  Yote hayo yanafanyika kwa nia njema,...

 

10 years ago

GPL

JK ATAKA MSAADA ESRF KUONDOA UMASKINI KWENYE UCHUMI UNAOKUA KWA KASI KUBWA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini , Alvaro Rodriguez nje ya ukumbi wa mikutano kabla ya mgeni rasmi kuwasili kwenye mkutano mkubwa wa tatu wa ESRF unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii...

 

10 years ago

GPL

JK:AKATISHA ZIARA YA MIZENGO PINDA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Waziri Mizengo Pinda amekatiza kwa muda, ziara yake katika Falme za Kiarabu kwa maelezo kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu. Waziri Mkuu ambaye yuko katika ziara ya kutembelea nchi za Falme za Kiarabu, ikiwa ni sehemu ya kudumisha ushirikiano na kutafuta wawekezaji, amekatisha ziara hiyo siku mbili baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kujiuzulu...

 

11 years ago

IPPmedia

Prime Minister Mizengo Pinda


IPPmedia
Prime Minister Mizengo Pinda
IPPmedia
Any provision of the proposed constitution that will not be approved by two thirds majority of the total number of members of the Constituent Assembly from Tanzania mainland and Zanzibar will be considered as rejected. This is in accordance with section ...

 

10 years ago

BBCSwahili

JK:Akatiza ziara ya Mizengo Pinda

Waziri Mizengo Pinda wa Tanzania amekatiza ziara yake Falme za Kiarabu ,kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani