JK:Akatiza ziara ya Mizengo Pinda
Waziri Mizengo Pinda wa Tanzania amekatiza ziara yake Falme za Kiarabu ,kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
JK:AKATISHA ZIARA YA MIZENGO PINDA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Waziri Mizengo Pinda amekatiza kwa muda, ziara yake katika Falme za Kiarabu kwa maelezo kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu. Waziri Mkuu ambaye yuko katika ziara ya kutembelea nchi za Falme za Kiarabu, ikiwa ni sehemu ya kudumisha ushirikiano na kutafuta wawekezaji, amekatisha ziara hiyo siku mbili baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kujiuzulu...
10 years ago
Michuzi.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA KATIKA ZIARA YA KIKAZI DUBAI
.jpg)
.jpg)
11 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA AFANYA ZIARA POLLAND
10 years ago
Michuzi.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AANZA ZIARA YA MKOA WA MBEYA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda awasili Qatar kwa ziara ya kikazi
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Watanzania watanufaika na kipato na maarifa ya teknolojia ya kisasa kutokana na ajira ambazo watapata katika nchi ya Qatar baada ya mkataba kusainiwa hivi karibuni. Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumapili, Desemba 20, 2014) jijini Doha, Qatar wakati akizumgumza na waandishi wa habari ili kuwapa taarifa fupi juu ya mambo yaliyojiri kwenye mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Abdulla Nasser Al Thani. Katika mazungumzo hayo ambayo yalifanyika...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AHITIMISHA ZIARA YAKE NCHINI JAPAN
10 years ago
Habarileo03 Jul
RC akatiza ziara kukagua maabara
MKUU wa Mkoa wa Simiyu, Elaston Mbwilo amesitisha ziara yake baada ya kutoridhishwa na ujenzi wa vyumba vya maabara katika Wilaya ya Maswa huku akitoa muda wa mwezi mmoja kukamilisha ujenzi huo kwenye shule za sekondari.
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
Malaysia:Waziri mkuu akatiza ziara
Waziri mkuu nchini Malaysia amesitisha ziara yake nchini Marekani ili kutembelea maeneo yaliyoathiriwa na janga la mafuriko
11 years ago
IPPmedia05 Mar
Prime Minister Mizengo Pinda
IPPmedia
IPPmedia
Any provision of the proposed constitution that will not be approved by two thirds majority of the total number of members of the Constituent Assembly from Tanzania mainland and Zanzibar will be considered as rejected. This is in accordance with section ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania