JK:AKATISHA ZIARA YA MIZENGO PINDA
![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIv90swKBrvBFYJBuDncJNMabGtJw7XmGkyi7ruxW45mnQA0ZAStR8oBoRbFI77LRWH*QiOoxkH8k9Ox-jjWSiiU/RAISKIKWETE.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Waziri Mizengo Pinda amekatiza kwa muda, ziara yake katika Falme za Kiarabu kwa maelezo kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu. Waziri Mkuu ambaye yuko katika ziara ya kutembelea nchi za Falme za Kiarabu, ikiwa ni sehemu ya kudumisha ushirikiano na kutafuta wawekezaji, amekatisha ziara hiyo siku mbili baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kujiuzulu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Dec
JK akatisha ziara ya Pinda Uarabuni
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
JK:Akatiza ziara ya Mizengo Pinda
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m9fRskoNGXA/VJGXyaWvnMI/AAAAAAAG378/HOUVVI82EsA/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA KATIKA ZIARA YA KIKAZI DUBAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-m9fRskoNGXA/VJGXyaWvnMI/AAAAAAAG378/HOUVVI82EsA/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XH04CAJVrkw/VJGXy66o3II/AAAAAAAG38A/5blOrcZzu_k/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA AFANYA ZIARA POLLAND
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_2EyLim9O1o/VOzXaShMWwI/AAAAAAAHFts/L5kje6hJNw8/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AANZA ZIARA YA MKOA WA MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_2EyLim9O1o/VOzXaShMWwI/AAAAAAAHFts/L5kje6hJNw8/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kR_lvqiujyg/VOzXZ0OKHYI/AAAAAAAHFto/aW5N27QhjcU/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wKP-wm6EIlo/VJcTgnHyfsI/AAAAAAAG44o/9Wth66iFV0A/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda awasili Qatar kwa ziara ya kikazi
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AHITIMISHA ZIARA YAKE NCHINI JAPAN
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4p6D7juUP1s/VU_ut7RHAiI/AAAAAAAASeE/ASczmBJpMPU/s72-c/IMG-20150510-WA0102.jpg)
Halima Mdee akatisha ziara Yake Mafia
![](http://4.bp.blogspot.com/-4p6D7juUP1s/VU_ut7RHAiI/AAAAAAAASeE/ASczmBJpMPU/s640/IMG-20150510-WA0102.jpg)
Hatimaye Mh. Halima Mdee aliamua kukatisha ziara yake Huko mafia na kurudi jimboni kwake ambapo leo alikuwa na ziara ya kutembelea jimbo zima kujionea na kuwapa pole waathirika wa mvua zilizo nyesha kwa siku 2 mfululizo.
katika ziara hiyo mbunge ameambatana na Janeth Rithe, Esther Samanya, Matha charles, Pamera Maasay na Manase Bussah.
Akizungumza na wananchi hao mdee amesema matatizo...
11 years ago
CloudsFM29 May
MSANII LUCY KOMBA AKATISHA ZIARA YAKE YA DENMARK KWA AJILI YA MSIBA WA RACHEL HAULE
STAA Nguli wa filamu za Kibongo,Lucy Komba amekatisha ziara yake ya nchini Denmark kwa ajili ya kuhudhulia msiba wa msanii mwenzake aliyefariki leo katika hospitali ya taifa Muhimbili kutokana na matatizo ya uzazi.
Kupitia account yake ya instagram Lucy aliandika hivi..jamani wapenzi wetu wa bongo movie nasikitika sana kuona wasanii wenzangu wanafariki bila mimi kuwepo nchini, nimeamua kukatiza ziara kurudi bongo kwa ajili ya msiba nitaondoka kesho mniombee safari njema. RIP mngoni...