JK akatisha ziara ya Pinda Uarabuni
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amekatiza kwa muda, ziara yake katika Falme za Kiarabu kwa maelezo kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIv90swKBrvBFYJBuDncJNMabGtJw7XmGkyi7ruxW45mnQA0ZAStR8oBoRbFI77LRWH*QiOoxkH8k9Ox-jjWSiiU/RAISKIKWETE.jpg)
JK:AKATISHA ZIARA YA MIZENGO PINDA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4p6D7juUP1s/VU_ut7RHAiI/AAAAAAAASeE/ASczmBJpMPU/s72-c/IMG-20150510-WA0102.jpg)
Halima Mdee akatisha ziara Yake Mafia
![](http://4.bp.blogspot.com/-4p6D7juUP1s/VU_ut7RHAiI/AAAAAAAASeE/ASczmBJpMPU/s640/IMG-20150510-WA0102.jpg)
Hatimaye Mh. Halima Mdee aliamua kukatisha ziara yake Huko mafia na kurudi jimboni kwake ambapo leo alikuwa na ziara ya kutembelea jimbo zima kujionea na kuwapa pole waathirika wa mvua zilizo nyesha kwa siku 2 mfululizo.
katika ziara hiyo mbunge ameambatana na Janeth Rithe, Esther Samanya, Matha charles, Pamera Maasay na Manase Bussah.
Akizungumza na wananchi hao mdee amesema matatizo...
11 years ago
CloudsFM29 May
MSANII LUCY KOMBA AKATISHA ZIARA YAKE YA DENMARK KWA AJILI YA MSIBA WA RACHEL HAULE
STAA Nguli wa filamu za Kibongo,Lucy Komba amekatisha ziara yake ya nchini Denmark kwa ajili ya kuhudhulia msiba wa msanii mwenzake aliyefariki leo katika hospitali ya taifa Muhimbili kutokana na matatizo ya uzazi.
Kupitia account yake ya instagram Lucy aliandika hivi..jamani wapenzi wetu wa bongo movie nasikitika sana kuona wasanii wenzangu wanafariki bila mimi kuwepo nchini, nimeamua kukatiza ziara kurudi bongo kwa ajili ya msiba nitaondoka kesho mniombee safari njema. RIP mngoni...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6gOQzLPTBtEOy0GQC1Hq3KaQGLRqLrvWW4zg8Tua5YJOuHYKB4KfBytB8yYrAM1PXgEOCtO*MNE5YCvdlks5Af-/Mrembo.gif?width=650)
MREMBO ATESWA UARABUNI
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
JK:Akatiza ziara ya Mizengo Pinda
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Ziara ya Pinda Uyui Tabora
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tabora kwa ziara ya kikazi mkoani humo Oktoba 11, 20-14.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
10 years ago
MichuziZIARA YA MH. PINDA NCHINI POLLAND
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Walima maparachichi kupatiwa soko Uarabuni
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
Ziara ya Waziri Mkuu Pinda Qatar
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Abdullah Nasser Al Thani baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu huyo iliyopo Doha kwa mazungumzo ya kiserikali akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Qatar Sheikh Abdullah Nasser Al Thani baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu wa Qatar iliyopo Doha kwa mazungumzo ya kiserikali akiwa...