Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halima Mdee akatisha ziara Yake Mafia

Baada ya kutoka Mafia na kufanikiwa kufanya mkutano mkubwa ambao watu zaidi ya 50 walijiunga na Chadema.
Hatimaye Mh. Halima Mdee aliamua kukatisha ziara yake Huko mafia na kurudi jimboni kwake ambapo leo alikuwa na ziara ya kutembelea jimbo zima kujionea na kuwapa pole waathirika wa mvua zilizo nyesha kwa siku 2 mfululizo.

katika ziara hiyo mbunge ameambatana na Janeth Rithe, Esther Samanya, Matha charles, Pamera Maasay na Manase Bussah.

Akizungumza na wananchi hao mdee amesema matatizo...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

MSANII LUCY KOMBA AKATISHA ZIARA YAKE YA DENMARK KWA AJILI YA MSIBA WA RACHEL HAULE

STAA Nguli wa filamu za Kibongo,Lucy Komba amekatisha ziara yake ya nchini Denmark kwa ajili ya kuhudhulia msiba wa msanii mwenzake aliyefariki leo katika hospitali ya taifa Muhimbili kutokana na matatizo ya uzazi. Kupitia account yake ya instagram Lucy aliandika hivi..jamani wapenzi wetu wa bongo movie nasikitika sana kuona wasanii wenzangu wanafariki bila mimi kuwepo nchini, nimeamua kukatiza ziara kurudi bongo kwa ajili ya msiba nitaondoka kesho mniombee safari njema. RIP mngoni...

 

10 years ago

Mwananchi

JK akatisha ziara ya Pinda Uarabuni

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amekatiza kwa muda, ziara yake katika Falme za Kiarabu kwa maelezo kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu.

 

10 years ago

GPL

JK:AKATISHA ZIARA YA MIZENGO PINDA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Waziri Mizengo Pinda amekatiza kwa muda, ziara yake katika Falme za Kiarabu kwa maelezo kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu. Waziri Mkuu ambaye yuko katika ziara ya kutembelea nchi za Falme za Kiarabu, ikiwa ni sehemu ya kudumisha ushirikiano na kutafuta wawekezaji, amekatisha ziara hiyo siku mbili baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kujiuzulu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Halima Mdee ngangari

JESHI la Polisi jana lilitembeza mkong’oto na kuwakamata makada na viongozi wa Baraza la Wanawake wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), waliokuwa wakiandamana kwenda Ikulu Mwenyekiti wa Bawacha, Halima...

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK amzimia Halima Mdee

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), jana aligeuka kivutio kikubwa katika hafla ya uzinduzi wa barabara ya Mwenge hadi Tegeta. Katika uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Dar es salaam, Mdee,...

 

10 years ago

Habarileo

Halima Mdee rumande

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (35) na wanachama wenzake wanane wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana walipelekwa rumande baada ya kushindwa kukamilisha taratibu za dhamana katika kesi inayowakabili ya kutotii amri halali ya Polisi na kufanya mkusanyiko bila kibali.

 

10 years ago

Accused Over 'No

Court Warns Halima Mdee, Co


Court Warns Halima Mdee, Co-Accused Over 'No-Show'
AllAfrica.com
THE Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam on Tuesday warned Chadema Women's Wing (Bawacha) Chairperson, Halima Mdee and two other co-accused, for failure to attend the case facing them. In Tuesday's proceedings, the prosecution ...

 

10 years ago

Mtanzania

RC Gama amjibu Halima Mdee

Halima-MdeeNA RODRICK MUSHI, MOSHI
SIKU moja baada ya Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee (Chadema), kumlipua Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, akidai kuwa amekuwa dalali wa viwanja, hatimaye amejibu mapigo na kusema kusakamwa kwake kunatokana na msimamo wake dhidi ya wa wanywaji pombe wilayani Rombo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, alisema kauli ya Mdee imejaa siasa, hasa kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, lakini hatorudi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Halima Mdee: Jihadharini na Matapeli

HALIMA

Na Mwandishi wetu

Mbunge wa Kawe jijini Dar es Salaam, Halima Mdee (pichani) amewatahadharisha wananchi juu ya utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wasiojulikana katika mitandao ya kijamii kwa kutumia jina lake kwa kudai kuwa anatoa mikopo bila riba.

siku za hivi karibuni kumekuwapo na matukio ambayo yamekuwa yakiwakuta baadhi ya viongozi wakiwemo Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe na Mbuge wa Monduli Edward Lowassa.

kwa mujibu wa Mdee ni kuwa  wakati muhafaka kwa Jeshi la Polisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani