Walima maparachichi kupatiwa soko Uarabuni
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro amesema anaendelea na jitihada za kutafuta soko kwa matunda aina ya parachichi katika nchi za Mashariki ya Kati ambako mahitaji yake ni makubwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Walima nyanya walalamikia ukosefu wa soko
>Wakulima wa nyanya mkoani Iringa wamelalamikia kukosekana kwa soko la uhakika, hali inayowafanya waendelee kupata hasara kila mwaka.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6gOQzLPTBtEOy0GQC1Hq3KaQGLRqLrvWW4zg8Tua5YJOuHYKB4KfBytB8yYrAM1PXgEOCtO*MNE5YCvdlks5Af-/Mrembo.gif?width=650)
MREMBO ATESWA UARABUNI
Stori:imelda mtema MATESO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mrembo Sada Hussein, mkazi wa Tandale kwa Mtogole jijini Dar kupata mateso mazito baada ya kupelekwa Uarabuni nchini Oman kwa lengo la kufanya kazi za ndani, tofauti na matarajio, alijikuta akiteswa vibaya na muajiri wake. Mrembo Sada Hussein, mkazi wa Tandale kwa Mtogole anayedaiwa kuteswa uarabuni. Akizungumzia tukio hilo kwa uchungu, kaka wa msichana huyo...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
JK akatisha ziara ya Pinda Uarabuni
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amekatiza kwa muda, ziara yake katika Falme za Kiarabu kwa maelezo kwamba ameitwa nyumbani na Rais Jakaya Kikwete kwa shughuli maalumu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*CsUdTgRfFlgCdh*0otfdsJQ34Ca57ROosPLpAtMOZJ15FyD*EG1*q5EYe3ihFw06EghtGDzky5W64VmQzpGIn/2.gif?width=650)
Pluijm ampa ulaji Mkwasa atimkia Uarabuni
Kocha wa Klabu ya Shaola SC, Hans van Der Pluijm. Na Lucy Mgina
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa, ameiacha timu hiyo na kutimkia Saudi Arabia kwa ajili ya kuwa Kocha Msaidizi wa Klabu ya Shaola SC inayonolewa na Hans van Der Pluijm.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT0pPONW5Yrdgvb029hOzCDJvaruqcJ7ZKmnNg3EVuK60YH7PRzdHg8qmY0tURKQ7DUJkxTfcrunLwl*lNqb5Atv/aisha.jpg)
AISHA MADINDA AFANYIWA KITU MBAYA UARABUNI
Stori: Musa Mateja
MNENGUAJI wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Aisha Ramadhani Mbegu maarufu kama ‘Aisha Madinda’, hivi karibuni anadaiwa kufanyiwa kitu mbaya baada ya kupokonywa pasipoti na simu zake kisha kubadilishiwa kazi aliyokusudia kuifanya na kufanywa hausigeli. Mnenguaji wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Aisha Ramadhani...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Walima korosho wapata hasara
Asilimia 70 ya wakulima wa korosho wa mikoa ya Ruvuma na Pwani katika msimu uliopita wamepata hasara baada ya kuuza korosho zao chini ya Sh1,000, wakati wakulima wenzao wa Mikoa ya Tanga,Lindi na Mtwara wamepata faida kwa kuuza bei ya kati ya Sh1000 hadi Sh1,350.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Walima matunda walilia kiwanda
Wakulima wa matunda na mbogamboga wilayani hapa, wameiomba Serikali itekeleze ahadi yake ya kuwajengea kiwanda cha kusindika matunda ili wajihakikishie soko la uhakika.
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Walima miwa kupewa hatimiliki
Wakulima wa miwa wa vijiji 10 vya Wilaya za Kilosa na Kilombero mkoani Morogoro, wameanza kupimiwa mashamba yao ili wapatiwe hatimilki za kimila.
10 years ago
Habarileo25 Jun
NSSF yawafaidisha walima kahawa
WAKULIMA wa zao la kahawa wilayani Mbinga wameanza kunufaika na huduma za bima ya afya kutoka Shirika la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania