Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walima miwa kupewa hatimiliki

Wakulima wa miwa wa vijiji 10 vya Wilaya za Kilosa na Kilombero mkoani Morogoro, wameanza kupimiwa mashamba yao ili wapatiwe hatimilki za kimila.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wakulima wa miwa kupewa mashamba

Ofisi ya Rais kupitia Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (Mkurabita), imewataka wakulima wa miwa katika Wilaya za Kilosa na Kilombero kujitokeza katika zoezi la urasimishaji mashamba.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima wa mkonge wapatiwa hatimiliki

Baada ya kusota kwa miaka takribani 15 tangu mashamba ya mkonge kubinafsishwa na kuanzishwa kwa kilimo cha mkonge, wakulima wadogo jana wameanza kupata ahueni baada ya mchakato wa kuwakabidhi hati miliki kuanza.

 

10 years ago

Habarileo

Aagiza halmashauri kuwezesha hatimiliki

HALMASHAURI zote nchini zimetakiwa kutenga fedha katika bajeti zake kwa ajili ya kutoa Hatimiliki za kimila kwa wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima waanza kuandaliwa hatimiliki

WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema hatimiliki za mashamba kwa ajili ya wakulima wadogo zimeanza kuandaliwa kwa lengo la kuwawezesha kupata mikopo katika taasisi za kibenki. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatimiliki zilinde vyanzo vya maji — DC

MKUU wa Wilaya (DC) ya Arumeru, Nyirembe Munasa, ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Arusha (Auwsa) kuhakikisha inayawekea hatimiliki maeneo yote ya vyanzo vya maji yaliyopo wilayani hapa ili kuyalinda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto wa vigogo ndio wenye hatimiliki pekee CCM?

HIVI sasa kuna hekaheka za uchaguzi ndogo wa ubunge katika majimbo mawili ya uchaguzi; Kalenga (Iringa) na Chalinze (Pwani). Miongoni mwa wanaowania ubunge katika majimbo hayo ni watoto wa vigogo,...

 

11 years ago

Mwananchi

Walima korosho wapata hasara

Asilimia 70 ya wakulima wa korosho wa mikoa ya Ruvuma na Pwani katika msimu uliopita wamepata hasara baada ya kuuza korosho zao chini ya Sh1,000, wakati wakulima wenzao wa Mikoa ya Tanga,Lindi na Mtwara wamepata faida kwa kuuza bei ya kati ya Sh1000 hadi Sh1,350.

 

10 years ago

Habarileo

NSSF yawafaidisha walima kahawa

Mbunge wa Mbinga Magharibi, Gaudens Kayombo.WAKULIMA wa zao la kahawa wilayani Mbinga wameanza kunufaika na huduma za bima ya afya kutoka Shirika la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).

 

11 years ago

Mwananchi

Walima matunda walilia kiwanda

Wakulima wa matunda na mbogamboga wilayani hapa, wameiomba Serikali itekeleze ahadi yake ya kuwajengea kiwanda cha kusindika matunda ili wajihakikishie soko la uhakika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani