Wakulima waanza kuandaliwa hatimiliki
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema hatimiliki za mashamba kwa ajili ya wakulima wadogo zimeanza kuandaliwa kwa lengo la kuwawezesha kupata mikopo katika taasisi za kibenki. Akizungumza na waandishi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Wakulima wa mkonge wapatiwa hatimiliki
9 years ago
StarTV15 Sep
Baadhi ya wakulima waanza kuzalisha asali
Mabadiliko ya tabia ya nchi yanayosababisha ukame yamekuwa changamoto kwa wakulima mkoani Manyara hali iliyowalazimu baadhi yao kuanza kujikita katika uzalishaji wa asali.
Uzalishaji wa asali ni moja ya njia mbadala ya kutotegema kilimo cha kibiashara ambacho kinaelekea kutokua na manufaa zaidi kwa wafugaji wa nyuki.
Vijiji vya Endagaw wilayani Hanang na Bashay Mbulu ni miongoni mwa maeneo mkoani Manyara ambayo yameanza uzalishaji wa asali kama njia mbadala baada ya mazao ya kibiashara...
10 years ago
Mwananchi18 May
Wakulima wa Pareto waanza kutembea kifua mbele
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Walima miwa kupewa hatimiliki
10 years ago
Habarileo16 May
Aagiza halmashauri kuwezesha hatimiliki
HALMASHAURI zote nchini zimetakiwa kutenga fedha katika bajeti zake kwa ajili ya kutoa Hatimiliki za kimila kwa wananchi.
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Hatimiliki zilinde vyanzo vya maji — DC
MKUU wa Wilaya (DC) ya Arumeru, Nyirembe Munasa, ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Arusha (Auwsa) kuhakikisha inayawekea hatimiliki maeneo yote ya vyanzo vya maji yaliyopo wilayani hapa ili kuyalinda...
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Michezo ya Jumuiya ya madola kuandaliwa AK
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Wanasayansi wachanga watakiwa kuandaliwa
10 years ago
Mtanzania03 Mar
Filamu kupinga mauaji ya albino kuandaliwa
NA JOHN MADUHU, MWANZA
WAIGIZAJI wa filamu nchini, wanatarajia kuungana katika filamu moja itakayokuwa ikipinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
Mwigizaji Jacob Steven ‘JB’, alizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, wakati wa kongamano la amani lililoandaliwa na maaskofu na masheikh wa Mkoa wa Mwanza.
JB ambaye alikuwa ameongozana na wasanii wengine kama Mzee Majuto na Mrisho Mpoto, alisema mchakato wa kuandaa filamu hiyo umeanza.
“Tumeguswa na mauaji ya walemavu wa ngozi,...