Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima wa Pareto waanza kutembea kifua mbele

>Kampuni ya Pareto Tanzania (PCT), imewalipa zaidi ya Sh4.4 bilioni  wakulima wa pareto katika mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa na Arusha kuanzia Agosti mwaka jana hadi Machi mwaka huu baada ya kununua tani 2,300 za zao hilo, imeelezwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tofauti ya bei kutoka kwa wanunuzi wa pareto yawachanganya wakulima

Wakulima wa Pareto mkoani hapa wamehoji uwapo wa mkanganyiko wa bei ya zao hilo msimu huu baada ya kuwapo kwa wanunuzi wanaowalipa Sh2,200 papo kwa papo huku wengine wakiwalipa Sh1,500 kwanza na nyingine hulipwa baada ya kupima sumu.

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto pacha waliotenganishwa India sasa waanza kutembea

Hali za watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameungana, Eliud na Elikana wenye mwaka mmoja na miezi sita, zinazidi kuimarika tangu walipofanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya Julai mwaka huu.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli: Nendeni vituoni kifua mbele

MGOMBEA urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi hasa wanawake, vijana na wazee kutotishika na maneno ya kuwazuia wasiende kumpigia kura na kuwataka waende vituoni kifua mbele, kumchagua kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

Mkwasa: Yanga tembeeni kifua mbele.

Kocha msaidizi wa Yanga, Boniface Mkwasa.
Kocha msaidizi wa Yanga, Boniface Mkwasa amewataka mashabiki wao kutembea kifua mbele kwa kuwa mafanikio yanakuja.Katika mkutano na waandishi wa habari kwenye ofisi za makao makuu ya Yanga jijini Dar es Salaam jana, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo, Jerry Muro alisema Mkwasa amemhakikisha kikosi chao kiko vizuri kambini mjini Bagamoyo, Pwani kujiandaa kwa mechi inayofuata dhidi ya Azam FC.
"Tumewasiliana na kocha msaidizi (Mkwasa)...

 

11 years ago

Habarileo

Watanzania watembea kifua mbele kwa tuzo ya Kikwete

TUZO ya uongozi bora aliyotunukiwa Rais Jakaya Kikwete jijini hapa Jumatano iliyopita na jarida moja la kimataifa la African Leadership imeelezwa kuwa imeliongezea nuru bara la Afrika na Tanzania kwa kutambua uongozi wake mahiri katika utawala na maendeleo.

 

5 years ago

Michuzi

GAMBO WENYEVITI WA MITAA VIJIJI TEMBEENI KIFUA MBELE KWA KUJIAMINI

Na Ahmed Mahmoud ArushaViongozi wa mitaa,vijiji na kata fanyenikazi kwa kujiamini bila woga kwa kuwa utaratibu wa Serikali unaanzia ngazi hiyo ili muweze kutatua na kushughulika na shida za wananchi.
Aidha Mkoa wa Arusha unaweza kudhibiti vitendo vya kiuhalifu kwa raia iwapo viongozi kuanzia ngazi ya mtaa wataweza kuwajibika kwa nafasi zao kutekeleza majukumu ya kulinda usalama wa maeneo yao kwa kufichua wahalifu na vitendo vya kihalifu.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo...

 

5 years ago

Michuzi

TUNDURU WAANZA KUWATUMIA WAGANGA WA TIBA ASILI KUWAIBUA WAGONJWA WA KIFUA KIKUU

Mganga wa tiba asili na tiba mbadala, Huasi Mohamed aliyevaa shuka nyeupe ambaye ameepata mafunzo ya kuwaibua na kuwahisi wagonjwa wa kifua kikuu wanaofika katika kilinge akiwa katika picha ya pamoja na mratibu wa kifua kikuu,ukoma na tiba asili katika Hospitali ya wilaya Tunduru Dkt Mkasange Kihongole wa pili kushoto na baadhi ya wazazi wake,Mganga huyo amekuwa msaada mkubwa katika kuwaibua wagonjwa wa kifua kikuu wanaofika kwake kwa ajili ya kupata huduma ambapo wale wanaohisiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

TAKUKURU YAMKINGIA KIFUA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TABORA MBELE YA BARAZA LA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

 Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Sipora Liana.Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Sipora Liana, akijieleza mbele ya Baraza la  Maadili kwa Viongozi wa Umma Dar es Salaam leo, alipofikishwa kwa tuhuma za kukiuka maadili ya viongozi wa umma alipokuwa Halmshauri ya Manispaa ya Mkuranga mkoani Pwani kabla ya kuhamishiwa Tabora.
Jaji Msumi (katikati), akiwa na wenzake akisikiliza shauri hilo.


Na Dotto Mwaibale
KAMANDA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Mkuranga, Damas...

 

5 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA TUNDURU WAANZA KUWATUMIA WAGANGA WA TIBA ASILI KUWAIBUA WAHISIWA WA KIFUA KIKUU

Na Mwandishi Wetu, Tunduru

BAADHI ya wananchi wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma,wameipongeza Serikali kupitia kitengo cha kifua kikuu na ukoma Hospitali ya wilaya ya Tunduru kuanza kuwatumia waganga wa Tiba asili na tiba mbadala waliosajiliwa kuibua wagonjwa wa kifua kikuu na kutoa rufaa ya kwenda hospitali kupata matibabu.

Wananchi hao waliokutwa katika kitongoji cha Mdingula kijiji cha Namasalau wakipata tiba katika moja ya kilinge cha mganga maarufu wa tiba asili na tiba mbadala Hausi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani