Wakulima wa Pareto waanza kutembea kifua mbele
>Kampuni ya Pareto Tanzania (PCT), imewalipa zaidi ya Sh4.4 bilioni wakulima wa pareto katika mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa na Arusha kuanzia Agosti mwaka jana hadi Machi mwaka huu baada ya kununua tani 2,300 za zao hilo, imeelezwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Tofauti ya bei kutoka kwa wanunuzi wa pareto yawachanganya wakulima
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Watoto pacha waliotenganishwa India sasa waanza kutembea
9 years ago
Habarileo20 Oct
Magufuli: Nendeni vituoni kifua mbele
MGOMBEA urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi hasa wanawake, vijana na wazee kutotishika na maneno ya kuwazuia wasiende kumpigia kura na kuwataka waende vituoni kifua mbele, kumchagua kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
10 years ago
Vijimambo24 Dec
Mkwasa: Yanga tembeeni kifua mbele.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/maswa-24Dec2014.jpg)
Kocha msaidizi wa Yanga, Boniface Mkwasa amewataka mashabiki wao kutembea kifua mbele kwa kuwa mafanikio yanakuja.Katika mkutano na waandishi wa habari kwenye ofisi za makao makuu ya Yanga jijini Dar es Salaam jana, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo, Jerry Muro alisema Mkwasa amemhakikisha kikosi chao kiko vizuri kambini mjini Bagamoyo, Pwani kujiandaa kwa mechi inayofuata dhidi ya Azam FC.
"Tumewasiliana na kocha msaidizi (Mkwasa)...
11 years ago
Habarileo13 Apr
Watanzania watembea kifua mbele kwa tuzo ya Kikwete
TUZO ya uongozi bora aliyotunukiwa Rais Jakaya Kikwete jijini hapa Jumatano iliyopita na jarida moja la kimataifa la African Leadership imeelezwa kuwa imeliongezea nuru bara la Afrika na Tanzania kwa kutambua uongozi wake mahiri katika utawala na maendeleo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Uvn2v8EsoTU/Xkv4Tfr_4jI/AAAAAAAAIHQ/78ZnBc47oZkR2ggV1rtNEO3E76aLYSbiQCEwYBhgL/s72-c/IMG-20200218-WA0061.jpg)
GAMBO WENYEVITI WA MITAA VIJIJI TEMBEENI KIFUA MBELE KWA KUJIAMINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uvn2v8EsoTU/Xkv4Tfr_4jI/AAAAAAAAIHQ/78ZnBc47oZkR2ggV1rtNEO3E76aLYSbiQCEwYBhgL/s640/IMG-20200218-WA0061.jpg)
Aidha Mkoa wa Arusha unaweza kudhibiti vitendo vya kiuhalifu kwa raia iwapo viongozi kuanzia ngazi ya mtaa wataweza kuwajibika kwa nafasi zao kutekeleza majukumu ya kulinda usalama wa maeneo yao kwa kufichua wahalifu na vitendo vya kihalifu.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yCxyzp1hEAY/XlOMos1qzrI/AAAAAAACBww/QMkj7U2pJT8VPSFCKMy-8dxzi7eI_pWjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200214_172657_945.jpg)
TUNDURU WAANZA KUWATUMIA WAGANGA WA TIBA ASILI KUWAIBUA WAGONJWA WA KIFUA KIKUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-yCxyzp1hEAY/XlOMos1qzrI/AAAAAAACBww/QMkj7U2pJT8VPSFCKMy-8dxzi7eI_pWjACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200214_172657_945.jpg)
10 years ago
VijimamboTAKUKURU YAMKINGIA KIFUA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TABORA MBELE YA BARAZA LA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
Na Dotto Mwaibale
KAMANDA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Mkuranga, Damas...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zE99vUbaF3o/XlOufZLgWmI/AAAAAAALfBI/WFEhbKnScA4RvTyyjI3OSllIbDwCBcx4wCLcBGAsYHQ/s72-c/dsc_0009.jpg)
HOSPITALI YA TUNDURU WAANZA KUWATUMIA WAGANGA WA TIBA ASILI KUWAIBUA WAHISIWA WA KIFUA KIKUU
BAADHI ya wananchi wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma,wameipongeza Serikali kupitia kitengo cha kifua kikuu na ukoma Hospitali ya wilaya ya Tunduru kuanza kuwatumia waganga wa Tiba asili na tiba mbadala waliosajiliwa kuibua wagonjwa wa kifua kikuu na kutoa rufaa ya kwenda hospitali kupata matibabu.
Wananchi hao waliokutwa katika kitongoji cha Mdingula kijiji cha Namasalau wakipata tiba katika moja ya kilinge cha mganga maarufu wa tiba asili na tiba mbadala Hausi...